Muda si mrefu home patawaka moto masela wangu

Muda si mrefu home patawaka moto masela wangu

achana naye
kama anakutaka kapigie nje ya home
Majaribu kama haya yaliwahi kunikuta miaka ya nyuma ambapo house girl na watoto wa mwenye nyumba walikuwa wanakuja ndani ya Geto na Khanga halafu Chuchu saa 6,
Kwa heshima ya Bro Nilivumilia, Lakini Vinginevyo Ningewalamba wote!
 
Ifike wakati mods thread Kama hizi mzifute ni utoto wa Hali ya juu Sana stori za kutunga
 
Acha kutuzingua umeshamlamba..... Yaani eti anajoto balaa ulijuaje? Ache wehu
 
Kwani story zako we ni zp
Ndio maana nilisena humu watoto Ni wengi sana na story zao za uongo uongo kuwe na Sheria ukijiunga jamii forum Ni uopewe mwaka ndio uruhusiwe kuanzisha uzi maana hii sasa tooo much imekuwa kama FB.
 
Vipi yule maza anaekulea Dom mmeshaachana au
 
Hata liwe jukwaa la mbao sema anaonekana dogo anatunga sana story za kindez

Mkuu as long as yuko kwenye jukwaa husika na hajavunja sheria mi naona sawa tu.

Maana MMU (Mahusiano, Mapenzi na Urafiki) huwezi kukuta habari za viwanda na uchumi huku.
 
Naomba sasa tuwe pamoja mwanzo mwisho wadau wa jukwaa hili

Hapa home nilipopanga kuna mambo yananitokea yaan ni baraa tupu vioja vya hatari masela wangu nakaa na mama mwenye nyumba na mabinti zake wawili na vitoto vingine vidogo vidogo vina kati ya miaka kumi au kumi na mbili

Sasa huyu binti mmoja mkubwa simwelewi kabisa jaman yaan nikienda choon yeye anaingia bafun nikiingia bafun yeye anaingia choon nikichukia mswaki nisafishe meno naye anakuja nilipo anaanza kuniongelesha ongelesha jana kaja kujipakia mafuta gheto kwangu alafu yupo kwenye kanga tu nayo imeloa balaa akawa anapaka kwa malingo ni baraa mala njoo unipake mara mgongo unawasha nikaona nimupotezee tuu

Jana usiku napo nimeenda bafun usiku aliposikia tu nafungua mlango wa gheto naye akatoka fasta akanifata bafun kavaa kanga tu mara akanikumbatia mtoto anajoto balaa sikumufanya kitu lakin sababu mimi hapa bado mgen lakin kuna siku yake

Sasa masela mnanishaulije vp niwashe moto au nisiwashe ninyi ndo masela wangu nategemea kupata mawazo mazur hapa
Niwashe au nipige chin
Acha kupiga fix
 
Naomba sasa tuwe pamoja mwanzo mwisho wadau wa jukwaa hili

Hapa home nilipopanga kuna mambo yananitokea yaan ni baraa tupu vioja vya hatari masela wangu nakaa na mama mwenye nyumba na mabinti zake wawili na vitoto vingine vidogo vidogo vina kati ya miaka kumi au kumi na mbili

Sasa huyu binti mmoja mkubwa simwelewi kabisa jaman yaan nikienda choon yeye anaingia bafun nikiingia bafun yeye anaingia choon nikichukia mswaki nisafishe meno naye anakuja nilipo anaanza kuniongelesha ongelesha jana kaja kujipakia mafuta gheto kwangu alafu yupo kwenye kanga tu nayo imeloa balaa akawa anapaka kwa malingo ni baraa mala njoo unipake mara mgongo unawasha nikaona nimupotezee tuu

Jana usiku napo nimeenda bafun usiku aliposikia tu nafungua mlango wa gheto naye akatoka fasta akanifata bafun kavaa kanga tu mara akanikumbatia mtoto anajoto balaa sikumufanya kitu lakin sababu mimi hapa bado mgen lakin kuna siku yake

Sasa masela mnanishaulije vp niwashe moto au nisiwashe ninyi ndo masela wangu nategemea kupata mawazo mazur hapa
Niwashe au nipige chin
Yaani umeona masela wako jf? hata nyie mnaochangia mmekubali kuwa masela?
 
Back
Top Bottom