buthabutha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 659
- 396
Ndio maana gvt ilikataza under 18 kuoa na kuolewa, kama hyu lazma ni mawazo ya <18
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haisaidii kupunguza uboya wako,Kama mama yako vile
Shikolo ke hange nkoiNalye shikolo nkoyi shelenikoya gete gete
Kalyage shikoloAha nalikala kaleho kanike nalehaya nakatule nkela
Fasta mkuu hawakawii kukutangazia kuwa jogoo hawiki hawa watotoWe ndo una nipa machungu kabisa
Shoga utalijua tu hadithi zake za kihanith hanith!maana hata kama moyo wako na akili yako haitaki lakini at least uanaume wako ungeprotest!Naomba sasa tuwe pamoja mwanzo mwisho wadau wa jukwaa hili
Hapa home nilipopanga kuna mambo yananitokea yaan ni baraa tupu vioja vya hatari masela wangu nakaa na mama mwenye nyumba na mabinti zake wawili na vitoto vingine vidogo vidogo vina kati ya miaka kumi au kumi na mbili
Sasa huyu binti mmoja mkubwa simwelewi kabisa jaman yaan nikienda choon yeye anaingia bafun nikiingia bafun yeye anaingia choon nikichukia mswaki nisafishe meno naye anakuja nilipo anaanza kuniongelesha ongelesha jana kaja kujipakia mafuta gheto kwangu alafu yupo kwenye kanga tu nayo imeloa balaa akawa anapaka kwa malingo ni baraa mala njoo unipake mara mgongo unawasha nikaona nimupotezee tuu
Jana usiku napo nimeenda bafun usiku aliposikia tu nafungua mlango wa gheto naye akatoka fasta akanifata bafun kavaa kanga tu mara akanikumbatia mtoto anajoto balaa sikumufanya kitu lakin sababu mimi hapa bado mgen lakin kuna siku yake
Sasa masela mnanishaulije vp niwashe moto au nisiwashe ninyi ndo masela wangu nategemea kupata mawazo mazur hapa
Niwashe au nipige chin
Serious una mpa ushauri huo?huja note kama jamaa ana ishara za kishoga?Achana naye. Kama Umempenda fanya mchakato mfungishwe ndoa muishi mke na mume.
Acha kujidanganya jamaa hata aweke kitandani hafanyi chochote si rizk!Ndoa ya mkeka inakuja, ukipiga bao jitayarishe kulea familia ila kodi utafutiwa