masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Duuh dawa imemfikiaWe mbona una hulka za kike wewe? Maongezi ni kama vile kuolewa ni fursa na huoni kwamba ni two way traffic.
Nachokiona ni kwamba unamuadmire jamaa hadi umepitiliza na kusahau jinsia yako. Huamini kwamba inawezekana kabisa huyo King wako alipenda bongo lkn akakataliwa. Yaelekea ungekuwa wa kike, jamaa angekutongoza hapo hapo uliposimama pichu ingeanguka miguuni fasta