Muda sio mrefu king of music wa Tanzania anaoa lakini kinachonisikitisha ni kweli Aly kiba hajaona Bongo

Duuh dawa imemfikia
 
Waache tu na jeur yao wataolewa
Na baba zao

Me mwenyewe nmeshafika
rwanda imebak arus tu
 
hana skendo mbaya na anawatoto wa3 kila moja na mama yake ... skendo my ass
 
Kwani dimondi alivyoenda kuoa yule sugarmami yuganda hapa tanzaniya hapakuwepo na mashugamami wa kuwaoa?mwacheni mfalme auage ukapela bhana

I have a dream.
 
Kwani wewe unampango wa kuoa bongo!!!!???

Kama ni hvo bs nikupe pole mapema kabisa ndugu yangu.
 
Kwani wewe unampango wa kuoa bongo!!!!???

Kama ni hvo bs nikupe pole mapema kabisa ndugu yangu.
Wasichana wa bongo wanapenda sana hela
Hata mimi nitaenda kenya tu
Niliwahi kuwa na demu wa kenya haombi hela mpaka we mwenyewe unajistukia hata mkitoka kwenda kula atakuambia acha nilipe
Bahati mbaya huyu demu alirudi kwao kenya sasa sijui ameshaolewa au bado kwa sababu nilipoteza mawasiliano naye
 
Mleta mada naona unatamani ungekuwa jokate nahusi ungebadilisha dini kabisa
 
madem wanaoendekeza slogan ya kusema mwanaume inabidi ampe hela mpenzi wake...wanapatikana Tanzania tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…