kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Tunakinukishaaaaaa.....mo hatumtaki atokeeSasa tunasema pesa iwekwe, vinginevyo.
Kuna mwiko mkuuHuyu matola, itakuwa nyuma yake kuna WAZITO.
Ndio hapo sasaHuyu matola, itakuwa nyuma yake kuna WAZITO.
Zitaisaidia timu yetu, hatutaki utapeli.Hizo b20 akitoa zitakisaidia Nini wewe na umasikini wako?
Mie ni lunyasi damu, ila ni mkweliUshauri umeletwa na mkali mwiko nyuma pale jangwani
Kwa kikosi hiki, tukipangwa na waarabu makundi zile 5 zitaanza kurud.Bocco
Kibu
Matola
Nyoni
Banda
Akpan
Hawatufai kama timu ya muda mrefu
Wafuatao wabadilike au wabadilishwe
Manura anafunga magoli ya kujirudia rudia sana
Afadhali mmepata chakujadili ili muachane na kocha wa yanga. Asante sana Azam FC.Wakuu poleni kwa kipigo, ni muda sasa Matola atupishe kwenye timu yetu, yeye ndio sumu. Kwanini makocha wakuu wote wanaondoka yeye anabaki? Viongozi mjitathimini.
Haya Mo Dewj aliahidi kutoa zile bilioni 20 kama asilimia 49 za umiliki wa timu, mpaka saizi hakuna hata shilingi mbovu imewekwa kwa account, ina maana sie wanachama na mashabiki ni mbumbumbu? Hoya hoya?
Sasa tunasema pesa iwekwe, vinginevyo.
Unaijua 20 Bilioni wewe?Wakuu poleni kwa kipigo, ni muda sasa Matola atupishe kwenye timu yetu, yeye ndio sumu. Kwanini makocha wakuu wote wanaondoka yeye anabaki? Viongozi mjitathimini.
Haya Mo Dewj aliahidi kutoa zile bilioni 20 kama asilimia 49 za umiliki wa timu, mpaka saizi hakuna hata shilingi mbovu imewekwa kwa account, ina maana sie wanachama na mashabiki ni mbumbumbu? Hoya hoya?
Sasa tunasema pesa iwekwe, vinginevyo.
Duh tutafanya nini sasa, tutukaneni tu
Hatuna muda na na wakali mwiko nyumaMie ni lunyasi damu, ila ni mkweli