Muda umefika UDOM ipewe hadhi ya Jiji (city). Dodoma iwe na majiji mawili

Muda umefika UDOM ipewe hadhi ya Jiji (city). Dodoma iwe na majiji mawili

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kama hujawahi kufika UDOM unaweza kunibishia,ila kana umefika utakubaliana bsni kuwa Udom peke yake inazidi CBD za mikoa mingi kwa majengo na mzunguko wa hela pamoja na miundombinu.

Hivi kweli Morogoro town utalinganisha na Udom,Kibaha makao makuu ya mkoa wa Pwani haisogei kwa UDOM.
Tanga,Mwanza na Mbeya,hayana cha maana kuizidi UDOM zaidi ya population.

Kama ishu ni wingi wa watu hata Vatican City inawatu wachache kuliko UDOM.tena eneo la UDOM kijiografia ni zaidi ya mara kumi ya Vatcan city.

Ukienda USA ni kawaida kukuta state moja ina cities zaidi ya 2 na city zingine zina less than 1 milion habitant.why not UDOM.

Kuanzia Makulu mpaka N g'ong'ona ukiweka na jengo la Chimwaga na Hospitali ya Mkapa na yale magorofa ya campus,inatosha kabisa kuwa jiji,boom la wanafunzi na mishahara ya watumishi wote wa UDOM kwa mwaka itoshe kusema ni fedha nyingi sana,UDOM pananukia hela tu.
 
Kama hujawahi kufika Udom unaweza kunibishia,ila kana umefika utakubaliana bsni kuwa Udom peke yake inazidi CBD za mikoa mingi kwa majengo na mzunguko wa hela pamoja na miundombinu.

Hivi kweli Morogoro town utalinganisha na Udom,Kibaha makao makuu ya mkoa wa Pwani haisogei kwa UDOM.
Tanga,Mwanza na Mbeya,hayana cha maana kuizidi UDOM zaidi ya population.

Kama ishu ni wingi wa watu hata Vatican City inawatu wachache kuliko UDOM.tena eneo la UDOM kijiografia ni zaidi ya mara kumi ya Vatcan city.

Ukienda USA ni kawaida kukuta state moja ina cities zaidi ya 2 na city zingine zina less than 1 milion habitant.why not UDOM.

Kuanzia Makulu mpaka N g'ong'ona ukiweka na jengo la Chimwaga na Hospitali ya Mkapa na yale magorofa ya campus,inatosha kabisa kuwa jiji,boom la wanafunzi na mishahara ya watumishi wote wa UDOM kwa mwaka itoshe kusema ni fedha nyingi sana,UDOM pananukia hela tu.
🤣🤣🤣 syo kosa lako tatzo ya afya ya akili na ushamba uliyo pitiliza
 
Kama hujawahi kufika UDOM unaweza kunibishia,ila kana umefika utakubaliana bsni kuwa Udom peke yake inazidi CBD za mikoa mingi kwa majengo na mzunguko wa hela pamoja na miundombinu.

Hivi kweli Morogoro town utalinganisha na Udom,Kibaha makao makuu ya mkoa wa Pwani haisogei kwa UDOM.
Tanga,Mwanza na Mbeya,hayana cha maana kuizidi UDOM zaidi ya population.

Kama ishu ni wingi wa watu hata Vatican City inawatu wachache kuliko UDOM.tena eneo la UDOM kijiografia ni zaidi ya mara kumi ya Vatcan city.

Ukienda USA ni kawaida kukuta state moja ina cities zaidi ya 2 na city zingine zina less than 1 milion habitant.why not UDOM.

Kuanzia Makulu mpaka N g'ong'ona ukiweka na jengo la Chimwaga na Hospitali ya Mkapa na yale magorofa ya campus,inatosha kabisa kuwa jiji,boom la wanafunzi na mishahara ya watumishi wote wa UDOM kwa mwaka itoshe kusema ni fedha nyingi sana,UDOM pananukia hela tu.
Unachekesha mno, bila shaka utakuwa ni first year.

Ukianza kupambania course work kisawasaa utaachaa.



By the way, umeanzisha mada ambayo ipo juu ya uwezo wako


Kwa hiyo unataka chuo kikifungwa mwezi wa saba, jiji liwe halina watu?
 
Kama hujawahi kufika UDOM unaweza kunibishia,ila kana umefika utakubaliana bsni kuwa Udom peke yake inazidi CBD za mikoa mingi kwa majengo na mzunguko wa hela pamoja na miundombinu.

Hivi kweli Morogoro town utalinganisha na Udom,Kibaha makao makuu ya mkoa wa Pwani haisogei kwa UDOM.
Tanga,Mwanza na Mbeya,hayana cha maana kuizidi UDOM zaidi ya population.

Kama ishu ni wingi wa watu hata Vatican City inawatu wachache kuliko UDOM.tena eneo la UDOM kijiografia ni zaidi ya mara kumi ya Vatcan city.

Ukienda USA ni kawaida kukuta state moja ina cities zaidi ya 2 na city zingine zina less than 1 milion habitant.why not UDOM.

Kuanzia Makulu mpaka N g'ong'ona ukiweka na jengo la Chimwaga na Hospitali ya Mkapa na yale magorofa ya campus,inatosha kabisa kuwa jiji,boom la wanafunzi na mishahara ya watumishi wote wa UDOM kwa mwaka itoshe kusema ni fedha nyingi sana,UDOM pananukia hela tu.
Jamaa sema ukweli Leo umetumia nini asubuhi
 
Ukiitenga UDOM na Dodoma jiji, Dodoma itakufa!
Lakini pia UDOM ni taasisi tu kama ilivyo UDSM, sasa kwa nini iwe jiji kipekee?
 
Kama hujawahi kufika UDOM unaweza kunibishia,ila kana umefika utakubaliana bsni kuwa Udom peke yake inazidi CBD za mikoa mingi kwa majengo na mzunguko wa hela pamoja na miundombinu.

Hivi kweli Morogoro town utalinganisha na Udom,Kibaha makao makuu ya mkoa wa Pwani haisogei kwa UDOM.
Tanga,Mwanza na Mbeya,hayana cha maana kuizidi UDOM zaidi ya population.

Kama ishu ni wingi wa watu hata Vatican City inawatu wachache kuliko UDOM.tena eneo la UDOM kijiografia ni zaidi ya mara kumi ya Vatcan city.

Ukienda USA ni kawaida kukuta state moja ina cities zaidi ya 2 na city zingine zina less than 1 milion habitant.why not UDOM.

Kuanzia Makulu mpaka N g'ong'ona ukiweka na jengo la Chimwaga na Hospitali ya Mkapa na yale magorofa ya campus,inatosha kabisa kuwa jiji,boom la wanafunzi na mishahara ya watumishi wote wa UDOM kwa mwaka itoshe kusema ni fedha nyingi sana,UDOM pananukia hela tu.
UDOM iwe Jiji???
 
Baba yako ndio upinde mimi pdidy nampakua mtaro
Mwaka wa kwanza tu wameshaanza kukupiga spana mndukuni, mwaka. Wa tatu utaitwa shangazi kwa kuendelea kuwashangaza watu namna hii.
 
Kwa akili hizi Mh.Rais Magufuli alikuwa sahihi kusema "vijana wa aina hii wanamchango mdogo sana kwa taifa"
 
Kuna jamaa mmoja alivyoingia dar kutoka mikoani akaanzisha ubishi kwamba eti ina magari mengi kwa Afrika ipo top3.Uko sahihi mkuu kwa ulichoona.
 
Mabro wenzangu mkishavuta vipisi muwe mnatupa mbali asee madogo wanaokota sana vishada.
 
Back
Top Bottom