Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Usha maliza course work?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chekechea moro, primary, moro, secondary moro both o level na A level kama alifika lakini.Unachekesha mno, bila shaka utakuwa ni first year.
Ukianza kupambania course work kisawasaa utaachaa.
By the way, umeanzisha mada ambayo ipo juu ya uwezo wako
Kwa hiyo unataka chuo kikifungwa mwezi wa saba, jiji liwe halina watu?
Acha ushamba kenge wewe soma kwanza akili zitakuja, wewe unataka liwe jiji chuo kikifungwa na jiji linakufa eti.Kama hujawahi kufika UDOM unaweza kunibishia,ila kana umefika utakubaliana bsni kuwa Udom peke yake inazidi CBD za mikoa mingi kwa majengo na mzunguko wa hela pamoja na miundombinu.
Hivi kweli Morogoro town utalinganisha na Udom,Kibaha makao makuu ya mkoa wa Pwani haisogei kwa UDOM.
Tanga,Mwanza na Mbeya,hayana cha maana kuizidi UDOM zaidi ya population.
Kama ishu ni wingi wa watu hata Vatican City inawatu wachache kuliko UDOM.tena eneo la UDOM kijiografia ni zaidi ya mara kumi ya Vatcan city.
Ukienda USA ni kawaida kukuta state moja ina cities zaidi ya 2 na city zingine zina less than 1 milion habitant.why not UDOM.
Kuanzia Makulu mpaka N g'ong'ona ukiweka na jengo la Chimwaga na Hospitali ya Mkapa na yale magorofa ya campus,inatosha kabisa kuwa jiji,boom la wanafunzi na mishahara ya watumishi wote wa UDOM kwa mwaka itoshe kusema ni fedha nyingi sana,UDOM pananukia hela tu.
We ni fala sana,unaijua vatican city,nakuletea majiji madogo zaidi nchini marekani ambako ninapajua kama ninavyoijua TanzaniaAcha ushamba kenge wewe soma kwanza akili zitakuja, wewe unataka liwe jiji chuo kikifungwa na jiji linakufa eti.
Dodoma yenyewe haina hadhi ya jiji ndio iwe Udom. GDP ya Mbeya sio chini ya trillion 8 ndio useme inazidiwa na Udom kwa ajili ya hivyo vi elf 10 vyenu mnavyopewa na loans bord.Wewe unadhani jiji ni ni hivyo vi hostel vyenu? kaka kwa kutulia mwanapori mmoja wewe.
Hiyo ni High School iliyochangamka, watu wanaingia hapo kwa maksi za kuokotezaKama hujawahi kufika UDOM unaweza kunibishia,ila kana umefika utakubaliana bsni kuwa Udom peke yake inazidi CBD za mikoa mingi kwa majengo na mzunguko wa hela pamoja na miundombinu.
Hivi kweli Morogoro town utalinganisha na Udom,Kibaha makao makuu ya mkoa wa Pwani haisogei kwa UDOM.
Tanga,Mwanza na Mbeya,hayana cha maana kuizidi UDOM zaidi ya population.
Kama ishu ni wingi wa watu hata Vatican City inawatu wachache kuliko UDOM.tena eneo la UDOM kijiografia ni zaidi ya mara kumi ya Vatcan city.
Ukienda USA ni kawaida kukuta state moja ina cities zaidi ya 2 na city zingine zina less than 1 milion habitant.why not UDOM.
Kuanzia Makulu mpaka N g'ong'ona ukiweka na jengo la Chimwaga na Hospitali ya Mkapa na yale magorofa ya campus,inatosha kabisa kuwa jiji,boom la wanafunzi na mishahara ya watumishi wote wa UDOM kwa mwaka itoshe kusema ni fedha nyingi sana,UDOM pananukia hela tu.
Akili zeroKama hujawahi kufika UDOM unaweza kunibishia,ila kana umefika utakubaliana bsni kuwa Udom peke yake inazidi CBD za mikoa mingi kwa majengo na mzunguko wa hela pamoja na miundombinu.
Hivi kweli Morogoro town utalinganisha na Udom,Kibaha makao makuu ya mkoa wa Pwani haisogei kwa UDOM.
Tanga,Mwanza na Mbeya,hayana cha maana kuizidi UDOM zaidi ya population.
Kama ishu ni wingi wa watu hata Vatican City inawatu wachache kuliko UDOM.tena eneo la UDOM kijiografia ni zaidi ya mara kumi ya Vatcan city.
Ukienda USA ni kawaida kukuta state moja ina cities zaidi ya 2 na city zingine zina less than 1 milion habitant.why not UDOM.
Kuanzia Makulu mpaka N g'ong'ona ukiweka na jengo la Chimwaga na Hospitali ya Mkapa na yale magorofa ya campus,inatosha kabisa kuwa jiji,boom la wanafunzi na mishahara ya watumishi wote wa UDOM kwa mwaka itoshe kusema ni fedha nyingi sana,UDOM pananukia hela tu.