Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Muda wa chakula hasa mchana na jioni huwa napiga sana miayo ambayo nashindwa kuelewa chanzo chake.
Hii hali inanitokea ni Takribani wiki sasa na awali nilichukulia kawaida ila sasa inaniogopesha. Nilikuwa napiga mwayo mmoja ila sasa hadi miwili.
Hii hali inanitokea ni Takribani wiki sasa na awali nilichukulia kawaida ila sasa inaniogopesha. Nilikuwa napiga mwayo mmoja ila sasa hadi miwili.