Muda wa kujisafisha na Ufisadi: Lugumi kuwajengea maghorofa sita watoto yatima Dar

Mungu ambariki Lugumi
 
“Mimi nampongeza niliona kwenye mitandao, hatakiwi kuvunjwa moyo, ni jambo jema limefanyika, ndani yake kuna roho ya kumcha MUNGU” Mwamposa
Atusaidie kujenga vyoo vya mkesha Kawe
 
Ànajua Lugumi anafanya biashara gani? Atakuwa kàfàñya kitu pale madhabahuni,
 
Hongera sana Said Lugumi,Dini ya Kweli ni kutunza yatima wajane ,wazee na walemavu🙏👏👏
 
Said Mwema ndio sterling wa kila kitu hapa, deals zilianzia kwa kampuni ya Lugumi kupewa tender ya ku supply vifaa vya kiusalama kwa Jeshi la Polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…