Acha Dhambi
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 145
- 41
naomba kujuzwa ni wakati gani mzuri kula matunda? Ni baada au kabla ya mlo na ni nini faida au hasara zake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula kabla ni nzuri zaidi, ila ukila baada jitahidi angalau masaa mawili yawe yamepita.
Kwahiyo siyo vizuri kula wali na ndizi kwa pamoja?. Najua wengi uwa wanafanya hivyo. Unakula wali kidogo uku unakata ndizi kidogo hadi unamaliza kula.