MPEPE
Senior Member
- Oct 20, 2012
- 155
- 65
Habari wanajamvi,
Naomba kwa wale wataalamu wa masuala ya kujamiiana wanisaidie kunielemisha kuhusu muda unaotakiwa kuchukua unapofanya tendo la ndoa .
Je imeandikwa wapi na sababu zake ni nini? Maana kila mtu anaongea vyake, mwingne dk 30, wengne dk 4,mara dk 16...n.k.
Naomba nipate muda elekezi kitaalamu na sababu zake.
Nawasilisha.
Naomba kwa wale wataalamu wa masuala ya kujamiiana wanisaidie kunielemisha kuhusu muda unaotakiwa kuchukua unapofanya tendo la ndoa .
Je imeandikwa wapi na sababu zake ni nini? Maana kila mtu anaongea vyake, mwingne dk 30, wengne dk 4,mara dk 16...n.k.
Naomba nipate muda elekezi kitaalamu na sababu zake.
Nawasilisha.