[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Haya nanyamaza sisy mtoto mbichi kabisa jamani huyo dada yangu ndiyo kwanza juzi kavunja peepeteo la mchele wa nyumbani [emoji3][emoji3]
Si umepata wa kucheza naye. Sawa tu. [emoji57][emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Sichezi tena na wewe.
Nitumie hela.Si umepata wa kucheza naye. Sawa tu. [emoji57]
ShingapiNitumie hela.
Nyingi nyingiii.Shingapi
Shida yangu ni kutuma tu ila mkononi za ana kwa ana zinatoka. Niombee hili pepo liniisheNyingi nyingiii.
Senzi taipuuuu!! Hebu tuma pesa huko ala!!!Shida yangu ni kutuma tu ila mkononi za ana kwa ana zinatoka. Niombee hili pepo liniishe
Kwani bado haujapaua? Au unataka za kusukiaSenzi taipuuuu!! Hebu tuma pesa huko ala!!!
Za tiles.Kwani bado haujapaua? Au unataka za kusukia
tubutuuuuuuuHaya nanyamaza sisy mtoto mbichi kabisa jamani huyo dada yangu ndiyo kwanza juzi kavunja peepeteo la mchele wa nyumbani [emoji3][emoji3]
Wew unafut ngapiiiiFuti 5 mbona mfupi hivyo, basi tena nishakosa mume ungekuwa mrefu ningekuja mbio.
Mimi wala sihitaji sifa zote hizo dear wangu,langu mimi ni chura tu basi!umba tu wa kwako.yaani mtu mmoja awe na sifa zote hizo?