Muda wa kuoa umefika

Muda wa kuoa umefika

Status
Not open for further replies.
Haya nanyamaza sisy mtoto mbichi kabisa jamani huyo dada yangu ndiyo kwanza juzi kavunja peepeteo la mchele wa nyumbani [emoji3][emoji3]
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Sichezi tena na wewe.
 
Haha hyo Namba nne wanaume wengi tunaikwepa iv ina nini et..tatizo sheria inamtetea sana mwanamke sasa fikiria nae awe mwanasheria c umekwisha mchana peupe[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Asiwe na shahada ya sheria[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Futi 5 mbona mfupi hivyo, basi tena nishakosa mume ungekuwa mrefu ningekuja mbio.
 
Sheria tisha tisha eeh inaonekana wanasheria wanamudu sana eeh.[emoji23] [emoji23] [emoji23] African man
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom