Muda wa kupinduliwa wafalme wa Mashariki ya Kati kwa fedheha umewadia

Muda wa kupinduliwa wafalme wa Mashariki ya Kati kwa fedheha umewadia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wafalme wa nchi zote za kiislamu ikiwemo mashariki ya kati ni marafiki wa maadui wa Mwenyezi Mungu.Wameweza kuwatawala watu wao kwa njama na ujanja ila wakati wao wa kuondolewa umefika.

Kampeni ya kuwaondoa madarakani inaonekana kama ni ndoto lakini inawezekana kwa kasi ya kushangaza na itatokea miaka sio mingi mbeleni.

Uwezekano wa aina hiyo hutokea panapokuwa na hasira za Mungu baada ya makosa ya muda mrefu waliyoyafany huku Mungu akiwaangalia tu kama wangeweza kuzinduka na ubaya wao.

Wamechangia kuuliwa kwa wingi na kulemazwa kwa wenzao wa Afghanistan,Iraq,Libya na Syria na mbaya kuliko yote hayo ni kuachia kuuliwa kwa wapalestina wanaoishi kuuzunguka msikiti mtakatifu wa Alaqsa bila kutoa upinzani wowote.

Marekani ilitamani sana kumuondoa Bashar lakini hawakuweza kufanya hivyo mpaka Mwenyezi Mungu alipowapa nguvu,,mbinu na kuwachagulia muda wasyria wenyewe kumuondoa bila Marekani kujua kitakachotokea tena kwa mikono ya mtu waliyewahi kumtangazia pesa kubwa kwa atakayemuua.

Urahisi walioupata Hizbu Tahrir ni kutokana na udhaifu walioingia Urusi na Iran waliokuwa wakimlinda Bashar Al Asad.Walikuwa wameshughulishwa na vita kila mmoja upande wake mpaka wakashindwa kumsaidia Bashar kuwapiga wapinzani wake waliokuwa wakimkaribia kwa kasi ya ajabu.

Marekani ambayo ndio mlinzi mkubwa wa wafalme wa mashariki ya kati kwa sasa iko hoi kiuchumi ndio maana inapunguza wafanyakazi mpaka wa mashirika nyeti kama ya CIA na kila siku inakatisha michango yake kwa mashirika ya misaada ya UN na ya kwake yenyewe ambayo yamekuwa kama nembo ya nguvu zake duniani kote.

Mpango uliotangazwa na Trump kuichukua Gaza na kuwahamisha wapalestina japo hautawezekana kutokana na udhaifu wa kiuchumi wa Marekani lakini ni matamshi mabaya ambayo hayapaswi kupuuzwa na yanayohitaji kujibiwa kivitendo na wafalme wote wa mashariki ya kati.

Baada ya wapalestina kuumizwa,kuuliwa na kuvunjiwa majumba yao ingepaswa jaribio lolote la kuendelea kuwaumiza lizuiliwe papo kwa papo.Ni fursa ya mwisho waliyopewa watawala hao kujitetea kwa makosa yao.

Wafalme hao wakishindwa kutumia vyema fursa yao ya mwisho basi Allah aliye na nguvu za juu atawatolea watu kama Taliban na Ahmed Alsharaa awaporomeshe chini bila uwezo wa kujitetea.

Siku hazikubaki nyingi kabla kumuona Mohammed Suleiman wa Saudi Arabia akiomba ukimbizi kwenye nchi maskini za kiafrika. Au mflame Haitham wa Oman akiomba ukimbizi nchi za Afrika Mashariki.
 
Waislam mna shida sana yaan nyie kwenu aman ni ukafiri

Kwenu utumishi na uislam ni vurugu

Taifa flan la kiislamu likiwa na Aman hilo linatumika na makafiri lakin likiwa na vurugu na vita huo ndo uislam sasa
Very brain washed

Hayo mataifa yote yanayoongozwa na wafalme yaan aman na ni tulivu sana hilo nalo hupendi

Kazi kuilaum marekan tu
 
Waislam mna shida sana yaan nyie kwenu aman ni ukafiri

Kwenu utumishi na uislam ni vurugu

Taifa flan la kiislamu likiwa na Aman hilo linatumika na makafiri lakin likiwa na vurugu na vita huo ndo uislam sasa
Very brain washed

Hayo mataifa yote yanayoongozwa na wafalme yaan aman na ni tulivu sana hilo nalo hupendi

Kazi kuilaum marekan tu
Kwa mtazamo wako kule kuna amani.Hujui amani ya kweli ni ile inayomjali Mungu na kufuata maamrisho yake ikiwemo kuwahurumia binadamu wenzako wanapodhulumiwa na yeyote yule hata akiwa ni musiamu mwenzako.
 
Waislam mna shida sana yaan nyie kwenu aman ni ukafiri

Kwenu utumishi na uislam ni vurugu

Taifa flan la kiislamu likiwa na Aman hilo linatumika na makafiri lakin likiwa na vurugu na vita huo ndo uislam sasa
Very brain washed

Hayo mataifa yote yanayoongozwa na wafalme yaan aman na ni tulivu sana hilo nalo hupendi

Kazi kuilaum marekan tu
Kuna watu bado wanamitizamo hiyo migumu , lakini uislamu umesisitiza Amani hata kwa kushirikiana na adui pale ambapo hauna nguvu ili uharibifu usitokee
 
Kuna watu bado wanamitizamo hiyo migumu , lakini uislamu umesisitiza Amani hata kwa kushirikiana na adui pale ambapo hauna nguvu ili uharibifu usitokee
Kwa comment hii huenda watakuita kafiri
 
Kwa mtazamo wako kule kuna amani.Hujui amani ya kweli ni ile inayomjali Mungu na kufuata maamrisho yake ikiwemo kuwahurumia binadamu wenzako wanapodhulumiwa na yeyote yule hata akiwa ni musiamu mwenzako.
Saud Arabia, Qatar, Jordan, Dubai

Kwahiyo hao ndo hawafati maamrisho ya MWENYEZI MUNGU?
 
Wenzenu wako zama za AI ninyi mnang'ang'ania zama za kale za mawe.
 
Wafalme wa nchi zote za kiislamu ikiwemo mashariki ya kati ni marafiki wa maadui wa Mwenyezi Mungu.Wameweza kuwatawala watu wao kwa njama na ujanja ila wakati wao wa kuondolewa umefika.

Kampeni ya kuwaondoa madarakani inaonekana kama ni ndoto lakini inawezekana kwa kasi ya kushangaza na itatokea miaka sio mingi mbeleni.

Uwezekano wa aina hiyo hutokea panapokuwa na hasira za Mungu baada ya makosa ya muda mrefu waliyoyafany huku Mungu akiwaangalia tu kama wangeweza kuzinduka na ubaya wao.

Wamechangia kuuliwa kwa wingi na kulemazwa kwa wenzao wa Afghanistan,Iraq,Libya na Syria na mbaya kuliko yote hayo ni kuachia kuuliwa kwa wapalestina wanaoishi kuuzunguka msikiti mtakatifu wa Alaqsa bila kutoa upinzani wowote.

Marekani ilitamani sana kumuondoa Bashar lakini hawakuweza kufanya hivyo mpaka Mwenyezi Mungu alipowapa nguvu,,mbinu na kuwachagulia muda wasyria wenyewe kumuondoa bila Marekani kujua kitakachotokea tena kwa mikono ya mtu waliyewahi kumtangazia pesa kubwa kwa atakayemuua.

Urahisi walioupata Hizbu Tahrir ni kutokana na udhaifu walioingia Urusi na Iran waliokuwa wakimlinda Bashar Al Asad.Walikuwa wameshughulishwa na vita kila mmoja upande wake mpaka wakashindwa kumsaidia Bashar kuwapiga wapinzani wake waliokuwa wakimkaribia kwa kasi ya ajabu.

Marekani ambayo ndio mlinzi mkubwa wa wafalme wa mashariki ya kati kwa sasa iko hoi kiuchumi ndio maana inapunguza wafanyakazi mpaka wa mashirika nyeti kama ya CIA na kila siku inakatisha michango yake kwa mashirika ya misaada ya UN na ya kwake yenyewe ambayo yamekuwa kama nembo ya nguvu zake duniani kote.

Mpango uliotangazwa na Trump kuichukua Gaza na kuwahamisha wapalestina japo hautawezekana kutokana na udhaifu wa kiuchumi wa Marekani lakini ni matamshi mabaya ambayo hayapaswi kupuuzwa na yanayohitaji kujibiwa kivitendo na wafalme wote wa mashariki ya kati.

Baada ya wapalestina kuumizwa,kuuliwa na kuvunjiwa majumba yao ingepaswa jaribio lolote la kuendelea kuwaumiza lizuiliwe papo kwa papo.Ni fursa ya mwisho waliyopewa watawala hao kujitetea kwa makosa yao.

Wafalme hao wakishindwa kutumia vyema fursa yao ya mwisho basi Allah aliye na nguvu za juu atawatolea watu kama Taliban na Ahmed Alsharaa awaporomeshe chini bila uwezo wa kujitetea.

Siku hazikubaki nyingi kabla kumuona Mohammed Suleiman wa Saudi Arabia akiomba ukimbizi kwenye nchi maskini za kiafrika. Au mflame Haitham wa Oman akiomba ukimbizi nchi za Afrika Mashariki.


Allah azilinde na kuzihifadhi nchi za Kiislam kutokamana na mashia maadui wa Allah na Mtume wake (Swala na Salamu ziwe juu yake), maadui wa Mama wa Waumini na Maswahaba (Allah awaridhie). Allah azilinde na kuzihifadhi nchi za Kiislam kutokamana na njama za madhalimu wa kizayuni na kimagharibi. Allah azilinde nchi za Kiislam kutokamana na fitna na vurugu za makhawaarij mbwa wa motoni wanaotamani kuziwasha moto nchi za Kiislam zisikalike huku wakiwapa fursa mashia, mazayuni na makafiri wa kimagharibi kuzipiga na kuzibomoa nchi za Kiislam

Allah awaongoze katika njia iliyonyooka na kuwahifadhi watawala wa Kiislam (Saudi Arabia, UAE, Bahrain, Qatar, Kuwait, Jordan, Syria, Misri, Malaysia, Indonesia, Pakistan, Somalia na nchi nyengine zote za Kiislam) na arekebishe mambo yao na awalipe kheri na awasamehe madhambi yao

Allah awanusuru ndugu zetu walioko Palestine na kwengine kote wanaohangaika na kuteseka na awape ushindi

Allah auunganishe Ummah katika Tawheed na Sunnah

ALLAHUMMA AAMIIN.
 
Kwa mtazamo wako kule kuna amani.Hujui amani ya kweli ni ile inayomjali Mungu na kufuata maamrisho yake ikiwemo kuwahurumia binadamu wenzako wanapodhulumiwa na yeyote yule hata akiwa ni musiamu mwenzako.

..Na Malkia na Wafalme wa Tanganyika na Zanzibar nao waondolewe.
 
Allah azilinde na kuzihifadhi nchi za Kiislam kutokamana na mashia maadui wa Allah na Mtume wake (Swala na Salamu ziwe juu yake), maadui wa Mama wa Waumini na Maswahaba (Allah awaridhie). Allah azilinde na kuzihifadhi nchi za Kiislam kutokamana na njama za madhalimu wa kizayuni na kimagharibi. Allah azilinde nchi za Kiislam kutokamana na fitna na vurugu za makhawaarij mbwa wa motoni wanaotamani kuziwasha moto nchi za Kiislam zisikalike huku wakiwapa fursa mashia, mazayuni na makafiri wa kimagharibi kuzipiga na kuzibomoa nchi za Kiislam

Allah awaongoze katika njia iliyonyooka na kuwahifadhi watawala wa Kiislam (Saudi Arabia, UAE, Bahrain, Qatar, Kuwait, Jordan, Syria, Misri, Malaysia, Indonesia, Pakistan, Somalia na nchi nyengine zote za Kiislam) na arekebishe mambo yao na awalipe kheri na awasamehe madhambi yao

Allah awanusuru ndugu zetu walioko Palestine na kwengine kote wanaohangaika na kuteseka na awape ushindi

Allah auunganishe Ummah katika Tawheed na Sunnah

ALLAHUMMA AAMIIN.
Duh mkuu kwahiyo mashia ni maadui wa Allah? Na maadui wa uislam na waislam kwa ujumla?
 
Ufilangoto gani umeandika bwana Abdi-Zhafil Ghan. Uko kwenye kitanda chako cha amka tukaze huko Ilolangulu alafu unapanga mambo ya Middle East?
Hiyo uliomumpa ni [SIZE=7]Medula Oblangata[/SIZE]
Yani umempa kitu kizito sana.🤣👉💥
😂😂😂😂😂 ety huko kwenye kitanda amka tukaze😂😂😂😂😂

Sleep tight🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndoto hizo. Uingereza kuna Ufalme, Denmark kuna Ufalme na nchi nyingine nyingi tu, sasa kama hoja ni kuwa mifumo ya kifalme haifai, basi Uingereza na Denmark nao wapinduliwe tu wapate akili. Zaidi ya hapo hizi ni Propaganda za Ukuu wa Wazungu. WHITESUPREMACY. Ovyo kabisa
 
Usilo lijua ni kama usiku wa giza tu. Kwamba Syria ya Assad imepinduliwa bila msaada wa Marekani? Sijui mnatafutiaga wapi habari you people. Aliyekua adui wa USA juzi how leo amekua rafiki mkubwa wa Israeli? Kuna rafiki wa Israeli akawa adui wa USA? Well, hao wafalme wa mashariki ya kati, unajua wanajali raia wao kuliko hao unaotaka waingie madarakani? Raia wa Saudia na Iran unaweza kuwafananisha? Iran imejikita kwenye ulinzi tu kama ilivo Korea kaskazini but maisha ya watu wao huwezi yafananisha na raia wa Saudia, Qatar, Dubai, Oman, Kuwait nk; halafu huyo mungu akawapige viongozi wanaojali maisha ya watu wao kuliko wale wapenda vita? Stupid, huyo sio Mungu wa mbinguni, huyo atakua shetani.
Tuachane na hao wa mashariki ya kati; vipi huyo mungu wako anasemaje kuhusu viongozi wetu wa nchi za Kiafrica? Anapendezwa na wanayo yafanya? Kwanini awe na hasira na viongozi wa middle east lakini asifanye chochote kwa wa kwetu? Hatupendi au ana double standard? Brainwashed!!!!
 
Wafalme wa nchi zote za kiislamu ikiwemo mashariki ya kati ni marafiki wa maadui wa Mwenyezi Mungu.Wameweza kuwatawala watu wao kwa njama na ujanja ila wakati wao wa kuondolewa umefika.

Kampeni ya kuwaondoa madarakani inaonekana kama ni ndoto lakini inawezekana kwa kasi ya kushangaza na itatokea miaka sio mingi mbeleni.

Uwezekano wa aina hiyo hutokea panapokuwa na hasira za Mungu baada ya makosa ya muda mrefu waliyoyafany huku Mungu akiwaangalia tu kama wangeweza kuzinduka na ubaya wao.

Wamechangia kuuliwa kwa wingi na kulemazwa kwa wenzao wa Afghanistan,Iraq,Libya na Syria na mbaya kuliko yote hayo ni kuachia kuuliwa kwa wapalestina wanaoishi kuuzunguka msikiti mtakatifu wa Alaqsa bila kutoa upinzani wowote.

Marekani ilitamani sana kumuondoa Bashar lakini hawakuweza kufanya hivyo mpaka Mwenyezi Mungu alipowapa nguvu,,mbinu na kuwachagulia muda wasyria wenyewe kumuondoa bila Marekani kujua kitakachotokea tena kwa mikono ya mtu waliyewahi kumtangazia pesa kubwa kwa atakayemuua.

Urahisi walioupata Hizbu Tahrir ni kutokana na udhaifu walioingia Urusi na Iran waliokuwa wakimlinda Bashar Al Asad.Walikuwa wameshughulishwa na vita kila mmoja upande wake mpaka wakashindwa kumsaidia Bashar kuwapiga wapinzani wake waliokuwa wakimkaribia kwa kasi ya ajabu.

Marekani ambayo ndio mlinzi mkubwa wa wafalme wa mashariki ya kati kwa sasa iko hoi kiuchumi ndio maana inapunguza wafanyakazi mpaka wa mashirika nyeti kama ya CIA na kila siku inakatisha michango yake kwa mashirika ya misaada ya UN na ya kwake yenyewe ambayo yamekuwa kama nembo ya nguvu zake duniani kote.

Mpango uliotangazwa na Trump kuichukua Gaza na kuwahamisha wapalestina japo hautawezekana kutokana na udhaifu wa kiuchumi wa Marekani lakini ni matamshi mabaya ambayo hayapaswi kupuuzwa na yanayohitaji kujibiwa kivitendo na wafalme wote wa mashariki ya kati.

Baada ya wapalestina kuumizwa,kuuliwa na kuvunjiwa majumba yao ingepaswa jaribio lolote la kuendelea kuwaumiza lizuiliwe papo kwa papo.Ni fursa ya mwisho waliyopewa watawala hao kujitetea kwa makosa yao.

Wafalme hao wakishindwa kutumia vyema fursa yao ya mwisho basi Allah aliye na nguvu za juu atawatolea watu kama Taliban na Ahmed Alsharaa awaporomeshe chini bila uwezo wa kujitetea.

Siku hazikubaki nyingi kabla kumuona Mohammed Suleiman wa Saudi Arabia akiomba ukimbizi kwenye nchi maskini za kiafrika. Au mflame Haitham wa Oman akiomba ukimbizi nchi za Afrika Mashariki.
Ujinga umekushika hadi kwenye damu yako. Aisee
 
Back
Top Bottom