Dah! darasa zuri....mi nakumbuka wakati mamsap yuko preg nilikuwa mpaka naogopa kugusanae lakini daktari akashauri nilie mzigo kama kawaida provided hana complications zozote, kudadadeki jibaba nilikamua mpaka 3 days before delivery......Hiyo kunyonyesha only after 40 days kitu mwake mwake na yeye atakuwa ameshaanza kuitamani..:nerd:
Mhhh! yangu macho,somo nalifuatilia.
Ndg wana JF naombeni mnisaidie kujua hili, inamchukua muda gani mwanamke anaye nyonyesha kuanza kushriki tendo la ndoa na mwenza wake?
Naombeni majibu yenu mnaojua plz
wewe uwe unakakagua katoto kako tu ukiona makalio yameanza kuwa meusi basi ruksa tu kwa kwenda mbele!
avatar yako tu imehusika 1 kwa 1 na postKikawaida ni siku 40, mama anakuwa salama ku do. Kikubwa zingatia afya yake na lishe. Pia style ziwe zile soft sio unagonga tu na masarakasi. Kwa ushauri zaidi nenda RCH clinics ya karibu watakujuza kila kitu. All the best.
kila mchango hapa nauthamini na unaongeza kitu fulani katika kile ninachotakiwa kujifunza kutoka hapa jamvini.
wewe uwe unakakagua katoto kako tu ukiona makalio yameanza kuwa meusi basi ruksa tu kwa kwenda mbele!
</p>wewe uwe unakakagua katoto kako tu ukiona makalio yameanza kuwa meusi basi ruksa tu kwa kwenda mbele!
Mi wiki tatu tu niliweza ku do sijui wengine, ila inashauriwa ukae mpaka upone arobaini zinatosha, ila ajabu wengi wanatoka arobaini na mimba
lijitahidi mwali zile nyuzi zinawasha vibaya lazima utafute kikunio mwenzangugaga sasa unautani na wapemba. Me siku ya 35 kwa kweli tulimzibua mtoto masikio. Kiafya ni 6 weeks ila inategemea na afya ya mama.
Ndg wana JF naombeni mnisaidie kujua hili, inamchukua muda gani mwanamke anaye nyonyesha kuanza kushriki tendo la ndoa na mwenza wake?
Naombeni majibu yenu mnaojua plz
Inategemea kajifungua kwa namna gani.
1. Kama kwa operation basi mpaka mshono upone na asiwe na dalili ya maumivu, cause kama unavyojua hiyo shughuli ni ya fujo sana.
2. Kama alipojifungua aliongezwa njia (kwa maana mtoto alikua mkubwa kuliko njia) inabidi eneo husika lipone kabisaaa. Na sababu hua for two weeks kunakua kumepona mda advisable ni miezi miwili.
3. Kama kajifungua salama, ni maelewano yenu tu lakini ni lazima awe amemaliza walau wiki nne, kikubwa kua very gentle na bahati mbaya yako hapa kwa baadhi ya wanawake by the time umefunga goli kama unavuta mda anaweza kukupita mawili.
ZINGATIA siku za mwanzo kua gentle, mnaweza rudi vurugu zenu zote walau after five to six months.
Duh, mzee Mwasapile kweli wewe kiboko, 1 hour baada ya kutema mzigo! yaaani humohumo wodin unaomba mzigo. Acha utani babaangu.Siku hiyo anayojifungua mwache apumzike lisaa limoja...omba mzigo