Muda wowote club ya Simba SC inaweza kumtangaza Florent Ibenge Raia wa Congo kama kocha wao mkuu

Muda wowote club ya Simba SC inaweza kumtangaza Florent Ibenge Raia wa Congo kama kocha wao mkuu

1611315230785.png

Mwakalebela naona yupo pembeni anasikilizia .....
 
Kuna tetesi kuwa muda wowote club ya Simba SC inaweza kumtangaza Florent Ibenge Raia wa Congo kama kocha wao mkuu.

baada ya kuvuja kwa picha akionekana akifanya mazungumzo na mtendaji mkuu wa Simba SC Barbara Gonzalez.
Ibenge (59) kwa sasa ni kocha mkuu wa timu ya taifa ya Congo DR inayoshiriki michuano ya CHAN 2020 nchini Cameroon.

Lakini pia ni kocha mkuu wa club ya AS Vita inayotarajiwa kucheza mchezo wa kwanza wa Kundi A February 12 2021 club Bingwa Afrika Kinshasa Congo DR
Hela anayopata Ibenge kwenye timu ya Taifa ya DRC na AS Vita kwa pamoja ni zaidi 100M
Simba wataweza?
 
Hela anayopata Ibenge kwenye timu ya Taifa ya DRC na AS Vita kwa pamoja ni zaidi 100M
Simba wataweza?
Kama ameweza kufundisha congo national team na as vita atashindwaje kufundisha simba na nt?
 
Kuna tetesi kuwa muda wowote club ya Simba SC inaweza kumtangaza Florent Ibenge Raia wa Congo kama kocha wao mkuu.

baada ya kuvuja kwa picha akionekana akifanya mazungumzo na mtendaji mkuu wa Simba SC Barbara Gonzalez.
Ibenge (59) kwa sasa ni kocha mkuu wa timu ya taifa ya Congo DR inayoshiriki michuano ya CHAN 2020 nchini Cameroon.

Lakini pia ni kocha mkuu wa club ya AS Vita inayotarajiwa kucheza mchezo wa kwanza wa Kundi A February 12 2021 club Bingwa Afrika Kinshasa Congo DR
Kwa kauli ya Msemaji wa Club ya Simba jana Sio iBenge wala Micho bali atatajwa mwingine. Kwani hawa tayari jana mzee wa kuropoka Manara kwataja kwenye press...
 
Hivi wewe jamaa mwenye ID ya Team 666 upo serious na maisha yako kweli?? Kwanini umeamua kuchagua namba hiyo??[emoji44][emoji15]
Cha ajabu kipo wapi nikijiita Kama nikijiita lion [emoji881]haimaanishi ni nitakua lion kweli


ID Kama izi tunazitumia kwasababu ya Serkali Kali sije wakanipa kesi ya uchochezi buree.
 
Back
Top Bottom