Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Mabosi wa Chelsea walikawia kumfukuza kazi kocha wao Muitaliano Antonio Conte kwasababu ya ligi ya mabingwa Ulaya mara baada ya kuvurunda kwenye EPL. Sasa huku kwenye Uefa nako ameshaharibu, kwenye ligi wanashika nafasi ya 5, kwa jinsi nimjuavyo Roman Abramovich, pasi na shaka yoyote ile niseme Hasta la Vista Antonio Conte!