CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Nimeangalia mpira wa YANGA vs USM ALGERS nikiwa home SINZA VATICAN hapa.... Sikupata fursa ya kwenda Uwanjani hasa nikijua wazi kupata nafasi itakuwa ngumu + mvua.
Kwa nilivyoungalia mchezo huu kwa kina kabisa. Wachezaji muhimu
AZIZ KI STEPHAN na KENNEDY MUSONDA + MAYELE (Hasa First Half)
Hawa wote walikuwa na mchezo mbaya mno, na hapo AZIZ KI ndio hali kwake ilikuwa mbaya zaidi.
Kwa jicho la ushabiki ni rahisi kuona udhaifu wa Aziz Ki, na nimeona hata Bandiko la Ndugu yanga Edo Kumwembe na baadhi ya wachambuzi.
Yes nakubali AZIZ KI hakucheza vizuri kabisa leo, lakini je tumejiuliza kwanini? Tumejiuliza mazingira gani alikuwa anapokea pasi? Tumejiuliza wakati upi anapewa pasi?
Mpira ni mchezo wa USHIRIKIANO, hata ikitokea MAYELE amefunga magoli 5 lakini kama DIARRA ataruhusu magoli 6 kizembe then hakuna kitu cha maana kweny hiyo mechi.
Sasa basi, leo hii game aliyeiua ni MUDATHIR, ndio kwangu mimi na hata baadhi ya watu wanaoangalia game kwa jicho la 3, watakuwa pamoja na mimi.
MUDATHIR yuko slow kwenye maamuzi, kwenye kupiga pasi, kwenye kubadili upande au kuamua twende mbele kwa wakati, tupoze au tukimbie, yeye ndiye alipaswa awe anaiamua mechi hii.
Mpira mingi iliyowafikia MAYELE, AZIZ na MUSONDA ilitoka ama kwa BANGALA au Mabeki wa Pembeni.
Mudathir anatakiwa kuwa mchezaji mwenye akili, anatakiwa ajue kukaa na mipira kunafanya mabeki wa timu pinzani kujipanga na kublock njia zote, na hiki ndicho alichokifanya leo hii. Bahati mbaya lawama zinakwenda kwa Aziz Ki, bila ya kujali usharp wake wa kufunga pindi amuonapo Mudathir awapo na mpira. AUCHO one of the best midfielder kuwahi kuwa nayo TZ, hana mambo mengi, anapokea na kuacha kwa wakati, magoli mengi ya Yanga, Build up inaanzia kwake kutoka na ubongo wake kuwa unatafsiri nafasi muhimu kwa haraka.
Muda anakaa na mipira bila sababu, na anapoachia pasi mara zote anaachia sehemu ambayo huwa ni 50/50 kwa mwenzake na Wachezaji wa timu pinzani hali inayopelekea mipira mingi kuwa blocked.
Sikuona sababu yoyote ya msingi ya kumbakisha Mudathir kwenye hii game, badala yake alipaswa kwenda nje mapema na Sureboy akae pale namba 8 ili kubalance mechi.
Kumbuka kwenye Mpira uzembe wa mtu mmoja unaharibu shepu nzima ya timu.
Muunganiko wa YANGA leo uliishia kwa Mudathir, kila akipata mpira alishindwa sasa kuuvusha na kuwafikia AZIZ, MUSONDA na MAYELE.
MWISHO KWAKO NABI.
GAME IJAYO USIJARIBU KUANZA NA MUDA DIMBA LA JUU (NO.8). HUYO MCHAZAJI UBONGO WAKE NI WA KONOKONO yuko slow sana.
Game inahitaji mtu mwenye uwezo wa kutafsiri nafasi kwa haraka sana.
Badala ya kukata matawi basi TUKATE MIZIZI ya huu uzembe.
Kwa nilivyoungalia mchezo huu kwa kina kabisa. Wachezaji muhimu
AZIZ KI STEPHAN na KENNEDY MUSONDA + MAYELE (Hasa First Half)
Hawa wote walikuwa na mchezo mbaya mno, na hapo AZIZ KI ndio hali kwake ilikuwa mbaya zaidi.
Kwa jicho la ushabiki ni rahisi kuona udhaifu wa Aziz Ki, na nimeona hata Bandiko la Ndugu yanga Edo Kumwembe na baadhi ya wachambuzi.
Yes nakubali AZIZ KI hakucheza vizuri kabisa leo, lakini je tumejiuliza kwanini? Tumejiuliza mazingira gani alikuwa anapokea pasi? Tumejiuliza wakati upi anapewa pasi?
Mpira ni mchezo wa USHIRIKIANO, hata ikitokea MAYELE amefunga magoli 5 lakini kama DIARRA ataruhusu magoli 6 kizembe then hakuna kitu cha maana kweny hiyo mechi.
Sasa basi, leo hii game aliyeiua ni MUDATHIR, ndio kwangu mimi na hata baadhi ya watu wanaoangalia game kwa jicho la 3, watakuwa pamoja na mimi.
MUDATHIR yuko slow kwenye maamuzi, kwenye kupiga pasi, kwenye kubadili upande au kuamua twende mbele kwa wakati, tupoze au tukimbie, yeye ndiye alipaswa awe anaiamua mechi hii.
Mpira mingi iliyowafikia MAYELE, AZIZ na MUSONDA ilitoka ama kwa BANGALA au Mabeki wa Pembeni.
Mudathir anatakiwa kuwa mchezaji mwenye akili, anatakiwa ajue kukaa na mipira kunafanya mabeki wa timu pinzani kujipanga na kublock njia zote, na hiki ndicho alichokifanya leo hii. Bahati mbaya lawama zinakwenda kwa Aziz Ki, bila ya kujali usharp wake wa kufunga pindi amuonapo Mudathir awapo na mpira. AUCHO one of the best midfielder kuwahi kuwa nayo TZ, hana mambo mengi, anapokea na kuacha kwa wakati, magoli mengi ya Yanga, Build up inaanzia kwake kutoka na ubongo wake kuwa unatafsiri nafasi muhimu kwa haraka.
Muda anakaa na mipira bila sababu, na anapoachia pasi mara zote anaachia sehemu ambayo huwa ni 50/50 kwa mwenzake na Wachezaji wa timu pinzani hali inayopelekea mipira mingi kuwa blocked.
Sikuona sababu yoyote ya msingi ya kumbakisha Mudathir kwenye hii game, badala yake alipaswa kwenda nje mapema na Sureboy akae pale namba 8 ili kubalance mechi.
Kumbuka kwenye Mpira uzembe wa mtu mmoja unaharibu shepu nzima ya timu.
Muunganiko wa YANGA leo uliishia kwa Mudathir, kila akipata mpira alishindwa sasa kuuvusha na kuwafikia AZIZ, MUSONDA na MAYELE.
MWISHO KWAKO NABI.
GAME IJAYO USIJARIBU KUANZA NA MUDA DIMBA LA JUU (NO.8). HUYO MCHAZAJI UBONGO WAKE NI WA KONOKONO yuko slow sana.
Game inahitaji mtu mwenye uwezo wa kutafsiri nafasi kwa haraka sana.
Badala ya kukata matawi basi TUKATE MIZIZI ya huu uzembe.