Muendelezo wa walioidharau Corona: Brazil nayo yakumbwa na maafa, sasa waanza kujutia

Muendelezo wa walioidharau Corona: Brazil nayo yakumbwa na maafa, sasa waanza kujutia

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Brazil ndani ya siku tano tu imepata waathirika wa #COVID19 10,500 na vifo 430 na kuwa taifa linaloongoza kwa maafa ya Corona ndani ya Latin America.

Tutakumbuka kuwa Rais wa Brazil siku chache zilizopita alisema hawezi kuzuia watu wasichangamane ndani ya nchi yake eti kwa sababu ya Corona huku akiamini kuwa kila mtu atakufa siku yake ikifika.

Capture.JPG
 
Na huyu wetu si aliudharau huu ugonjwa. Sijui tukimbilie wapi kabla ya revenge
 
Sijui hizo siku tano unazihesabu vipi. Brazil walireport mgonjwa wa kwanza wa Covid19 tarehe 25 Feb 2020. Ukihesabu tokea hapo mpaka leo ni kama siku 40 hivi. Sasa kusema wamepata hao wagonjwa 10500 ndani ya siku tano ni kupotosha umma.

Brazil ndani ya siku tano tu imepata waathirika wa COVID 19 10500 na vifo 430 na kuwa taifa linaloongoza kwa maafa ya Corona ndani ya Latin America



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui hizo siku tano unazihesabu vipi. Brazil walireport mgonjwa wa kwanza wa Covid19 tarehe 25 Feb 2020. Ukihesabu tokea hapo mpaka leo ni kama siku 40 hivi. Sasa kusema wamepata hao wagonjwa 10500 ndani ya siku tano ni kupotosha umma.





Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema ndani ya siku tano wame report idadi hiyo ya wagonjwa na vifo, hajasema siku tano tangu ku report mgonjwa wa kwanza.
 
Sijui hizo siku tano unazihesabu vipi. Brazil walireport mgonjwa wa kwanza wa Covid19 tarehe 25 Feb 2020. Ukihesabu tokea hapo mpaka leo ni kama siku 40 hivi. Sasa kusema wamepata hao wagonjwa 10500 ndani ya siku tano ni kupotosha umma.





Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kaandika kwa kiswahili na siyo kilatini, tatizo ni nini?
 
Brazil ndani ya siku tano tu imepata waathirika wa COVID 19 10500 na vifo 430 na kuwa taifa linaloongoza kwa maafa ya Corona ndani ya Latin America.

Tutakumbuka kuwa Rais wa Brazil siku chache zilizopita alisema hawezi kuzuia watu wasichangamane ndani ya nchi yake eti kwa sababu ya Corona huku akiamini kuwa kila mtu atakufa siku yake ikifika.

The same catastrophe will befall on us! Time is ticking!
 
Niko arusha nimekutana na scenario kibao watu wakisema wamechoka ,homa ,kichwa kuuma ,joto la mwili kubadilika ila hawafanyi chochote niko maeneo ya usa river tuesabu wiki tu itatupiga vibaya hata mdogo wangu naona kaanza pata hizo dalili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda atakuja kujitoa kauli yake
Brazil ndani ya siku tano tu imepata waathirika wa #COVID19 10,500 na vifo 430 na kuwa taifa linaloongoza kwa maafa ya Corona ndani ya Latin America.

Tutakumbuka kuwa Rais wa Brazil siku chache zilizopita alisema hawezi kuzuia watu wasichangamane ndani ya nchi yake eti kwa sababu ya Corona huku akiamini kuwa kila mtu atakufa siku yake ikifika.


Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom