Tunachukua hatua za kutosha tatizo ni sis wananchi pia kuna siku nilipanda daladala na bint yangu wa miaka mitatu tumevaa mask raia walikua wanatuchek kidizain kama tunawaletea uchuro watu, watu wakivaa mask wanpokua nje na kunawa kila muda na kuepuka misongomano isiyo na lazima hatuna haja ya lockdown karantini na tracing still ni njia sahihi sana unlessotherwise tutakufa na njaa kama nzige kubwa ya watu wa kusin mwa jangwa la sahara ni day workersThe same catastrophe will befall on us! Time is ticking!
Kufeli kwa Jiwe furaha ya wengi na ikiwezekana Mungu ampende zaidi tufurahi milele.Alafu uanze kufurahi roho yako, jiwe kufeli?πππ
Kufeli kwa Jiwe furaha ya wengi na ikiwezekana Mungu ampende zaidi tufurahi milele.
Am writing this from deepest part of my heart
Alafu uanze kufurahi roho yako, jiwe kufeli?πππ
Wameenda hospitali?Niko arusha nimekutana na scenario kibao watu wakisema wamechoka ,homa ,kichwa kuuma ,joto la mwili kubadilika ila hawafanyi chochote niko maeneo ya usa river tuesabu wiki tu itatupiga vibaya hata mdogo wangu naona kaanza pata hizo dalili
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwapa no za simu za kupiga....mdogo wangu bado namuangalia vizuriWameenda hospitali?
Amesikika akisema....Acha woga wewe toka fanya kazi utakufa njaa