Achraf Hakimi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 943
- 1,944
- Thread starter
- #21
Yaani haijalishi kitu kina ukubwa au udogo kiasi gani kama unaona kimekufaa unakichukua na kama hakifai unakiacha.. Na wema hauozi hata iwe ni punje ya mchangaNi kweli Kabisa nimeona hili