Muft mkuu wa waislamu tusaidie kudhibiti misikiti mtaani, uhuru umezidi kwenye vipaza sauti

Muft mkuu wa waislamu tusaidie kudhibiti misikiti mtaani, uhuru umezidi kwenye vipaza sauti

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Tangu saa kumi na dakika kumi hadi saa hii mtu amesha toa adhana lakini anaamua kuendelea kuongea anapiga story tofauti tofauti.

Tunaomba asubuhi wanapotoa azana basi waishie hapo, hii asubuhi hata mawaiza yenyewe wanayoongea hatuyasikilizizi zaidi ya kuvuruga tu. Au ikiwezekana watumie speaker za ndani baada azana.

Kazi tunazozifanya ni tofauti na hata imani zetu ziko tofauti tofauti.
 
Tangu saa kumi na takika kumi hadi saa hii mtu amesha toa adhana lakini anaamua kuendelea kuongea anapiga story tofauti tofauti.

Tunaomba asubuhi wanapotoa azana basi waishie hapo, hii asubuhi hata mawaiza yenyewe wanayoongea hatuyasikilizizi zaidi ya kuvuruga tu. Au ikiwezekana watumie speaker za ndani baada azana.

Kazi tunazozifanya ni tofauti na hata imani zetu ziko tofauti tofauti.
Mmmmm kazi sanaa.....tuvumiliane
 
Tangu saa kumi na takika kumi hadi saa hii mtu amesha toa adhana lakini anaamua kuendelea kuongea anapiga story tofauti tofauti.

Tunaomba asubuhi wanapotoa azana basi waishie hapo, hii asubuhi hata mawaiza yenyewe wanayoongea hatuyasikilizizi zaidi ya kuvuruga tu. Au ikiwezekana watumie speaker za ndani baada azana.

Kazi tunazozifanya ni tofauti na hata imani zetu ziko tofauti tofauti.
Unahaki ya kusikilizwa.....tuombe Viongozi wetu wawe na masikio
 
Tangu saa kumi na takika kumi hadi saa hii mtu amesha toa adhana lakini anaamua kuendelea kuongea anapiga story tofauti tofauti.

Tunaomba asubuhi wanapotoa azana basi waishie hapo, hii asubuhi hata mawaiza yenyewe wanayoongea hatuyasikilizizi zaidi ya kuvuruga tu. Au ikiwezekana watumie speaker za ndani baada azana.

Kazi tunazozifanya ni tofauti na hata imani zetu ziko tofauti tofauti.
Waislam wana hasira ma waisrael wa Buguruni
 
Baada ya adhana kuna ibada zinatakiwa kufanyika kabla ya swala, huyo anaefanya kelele ni mvivu wa ibada au hajui anachokifanya, na anawakawaza waumini wenzake pia kwa kuongea kwenye kipaza sauti muda huo.

Tatizo jamii yetu wajinga wengi sana na ndio wanaojipa mamlaka.
 
Hii ni sawa kabsa inakuwa aina maana adhana imepigwa lakini bado makerere yanaendekea isitoshe hayo mengine kwa mujibu wa taratibu za kiislamu sidhani kama yanaruhusiwa
 
Baada ya adhana kuna ibada zinatakiwa kufanyika kabla ya swala, huyo anaefanya kelele ni mvivu wa ibada au hajui anachokifanya, na anawakawaza waumini wenzake pia kwa kuongea kwenye kipaza sauti muda huo.

Tatizo jamii yetu wajinga wengi sana na ndio wanaojipa mamlaka.
sijawahi kusoma muislam akiwa crash waislam wenzake kwa upuuzi wao
 
Nyinyi warokole ndo vinara wa kupigia watu kelele.
wale wana hekima walishasikiliza maagizo ya NEMC na wametii maagizo yao. Imebaki nyie waislam ni wabishi na wakaidi hamfuati sheria za nchi kutwa kupigia watu kelele na miazana yenu kwenye maspika makubwa. Kule Rwanda mmeshikishwa adabu hakuna hayo makelele
 
Tangu saa kumi na takika kumi hadi saa hii mtu amesha toa adhana lakini anaamua kuendelea kuongea anapiga story tofauti tofauti.

Tunaomba asubuhi wanapotoa azana basi waishie hapo, hii asubuhi hata mawaiza yenyewe wanayoongea hatuyasikilizizi zaidi ya kuvuruga tu. Au ikiwezekana watumie speaker za ndani baada azana.

Kazi tunazozifanya ni tofauti na hata imani zetu ziko tofauti tofauti.
Vumilia tu kama tunavyovumilia makanisa yenu ya kiroho huku mtaani..
 
Back
Top Bottom