Mufti Abubakari Zuberi ahimiza uharaka kesi ya mashehe wa Uamsho

Mufti Abubakari Zuberi ahimiza uharaka kesi ya mashehe wa Uamsho

Ulitaka aingie kwenye mzozo na serikali halafu mwisho wake utakuaje? huko jela kuna zaidi ya masheikh 170 ukiacha hao uamsho na kesi ni hizo hizo tu za ajabu ajabu wanapewa.
Hakuyasema haya wakati wa kipindi cha mwendazake na alikua very close naye,why now?President Samia ni msikivu mno but NOT take her for fool or granted,sheikh mkuu asimpe unnecessary pressure,alikua in a good position kuongea na mwendazake na hakutake advantage hiyo kwa uoga wake,aache unafiki now President Samia katupa uhuru wa kuongea na tuutumie vema otherwise she can silence all of us
 
Asingeongea mngemuhukumu.

Ameongea mmemuhukumu


Mnataka afanyeje?
Sheikh Abubakr Zuberi ni mnafiki kiwango cha Tanzanite. Yeye ndiye alikuwa anamsomea Dua Mwendazake kila akianguka. Miaka yote 5 hakuthubutu kumuomba mgonjwa wake Magufuli awaachie hawa Mashehe au kushinikizwa kesi isikilizwe.

Ameona mchakato unarndelea, kaamua kudandia treni kwa mlango wa Dreva. Ni MNAFIKI TU
 
Wamuache mama aamue inavyofaa maana for 5yrs hamkupigia hizi kelele yule jamaa na hata kule nyuma kwa JK hamkumpigia kelele pia...leo mnataka mvimbishe vifua kwa mama....enzi za yule jamaa mlikuwa busy kwenye zinduzi, tafrija nk.....tusimsumbue mama, tumuache huru afanye sehemu yake naye kadili atakavyojaaliwa na mwenyezi Mungu mwingi wa rehema....
 
..Wazungu wana msemo wao , " too little too late. "

..Mufti amechelewa mno kulizungumzia suala la Mashekhe wa Uamsho.

..Vilevile kauli ya Mufti ina msaada kidogo sana kwasababu imechelewa kutolewa.
Lakeni hao hao wazungu wana kamsemo kangine kanasema better late than never. Kwahiyo Mufti atakuwa kakafuata hako kamsemo!
 
Dini Hizi zimegeuka kuwa sehemu Ya fursa tu...Hawa wanaojiita Viongozi wa Dini wote wanajulikana mambo yao..Jamii wala haiwaheshimu hawa..
 
Lakeni hao hao wazungu wana kamsemo kangine kanasema better late than never. Kwahiyo Mufti atakuwa kakafuata hako kamsemo!

..wazungu pia wana kamsemo, " justice delayed is justice denied. "

..mashekhe wamekaa mahabusu muda mrefu sana.
 
Dalili hizi zimeanza kuonekana baada ya Shehe Mkuu wa BAKWATA Mufti Zuberi kuzitaka mamlaka kuharakishwa kusikilizwa kwa shauri lao. Ni dhahiri shahiri serikali haiwezi kupuuza ombi lake na hivyo DPP ama atashauriwa kulifuta shauri hilo au ataanzisha mchakato wa kusikilizwa shauri hilo haraka.

========

Alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa mkutano wa viongozi wa dini waliokutana kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.

Alisema ni miaka mingi sasa tangu kesi hiyo ianze kusikiliwa na kuomba wenye mamlaka ya kusimamia kesi kufanya haraka kusikiliza ili ifikie muafaka.

“Hatuwezi kuingilia mambo ya kisheria, lakini ninachoweza kuomba ni uharakishwaji wa kusikiliza kesi yao, kesi hii imekaa miaka mingi, suala hili niombe mamlaka husika ziharakishe kuisikiliza kwa sababu imekaa miaka mingi,” alisema Mufti na kuongeza:
“Usikilizwaji wa kesi kwa haraka na hukumu ikatolewa itajulikana nani ana hatia gani na achukuliwe hatua gani na nani hana, kuliko kukaa ndani muda mrefu bila kufahamu hatma yao.”

Miongoni mwa mambo mengine ambayo viongozi hao wa dini walizungumzia ni kuhusu vitendo vya ukatili vinavyoendelea kwa watoto na kuwataka wazazi kuwajibika katika malezi ya watoto wao.

“Hawa watoto ndiyo viongozi wa nchi tunaowategemea kesho, kwa hiyo tusipowajibika katika kuwatunza na kuwalinda tunakuwa tunaharibu taifa letu, ni vema kila mzazi, mlezi na jamii yote iwajibike katika kumlinda mtoto,”alisema Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)Jimbo la Mashariki na Pwani, Dk. Alex Malasusa.

Alisema: “Asilimia kubwa ya watoto huharibika tabia kutokana na kukosa uangalizi wa wazazi ambao wanabanwa na shughuli za kila siku, hivyo wanapaswa watenge muda wa malezi. Tuombe kwamba kila unapobarikiwa kupata mtoto, uwajibike pia na katika kumlea na kumlinda.”

Machi 28, mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan wakati akipokea taarifa ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ya mwaka 2019/2020, aliiagiza kuharakishwa kwa kesi, kuziondoa zisizo na msingi ili kuondokana na idadi kubwa ya kesi ambazo serikali imekuwa ikishindwa.

Vilevile, Juni 13, mwaka huu, viongozi wa dini Zanzibar, walimwomba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi, kuangalia suala la viongozi hao wa uamsho ambao wako mahabusu kwa muda mrefu.

Miongoni mwa mambo waliyomwomba ni kuangalia kama wana hatia au la, badala ya kuendelea kusota rumande bila kujua hatima yao.

Chanzo: Nipashe
Hivi alikua wapi enzi za mwendazake, hakuwahi hata kuwataja masheikh wa uamsho
 
Dalili hizi zimeanza kuonekana baada ya Shehe Mkuu wa BAKWATA Mufti Zuberi kuzitaka mamlaka kuharakishwa kusikilizwa kwa shauri lao. Ni dhahiri shahiri serikali haiwezi kupuuza ombi lake na hivyo DPP ama atashauriwa kulifuta shauri hilo au ataanzisha mchakato wa kusikilizwa shauri hilo haraka.

========

Alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa mkutano wa viongozi wa dini waliokutana kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.

Alisema ni miaka mingi sasa tangu kesi hiyo ianze kusikiliwa na kuomba wenye mamlaka ya kusimamia kesi kufanya haraka kusikiliza ili ifikie muafaka.

“Hatuwezi kuingilia mambo ya kisheria, lakini ninachoweza kuomba ni uharakishwaji wa kusikiliza kesi yao, kesi hii imekaa miaka mingi, suala hili niombe mamlaka husika ziharakishe kuisikiliza kwa sababu imekaa miaka mingi,” alisema Mufti na kuongeza:
“Usikilizwaji wa kesi kwa haraka na hukumu ikatolewa itajulikana nani ana hatia gani na achukuliwe hatua gani na nani hana, kuliko kukaa ndani muda mrefu bila kufahamu hatma yao.”

Miongoni mwa mambo mengine ambayo viongozi hao wa dini walizungumzia ni kuhusu vitendo vya ukatili vinavyoendelea kwa watoto na kuwataka wazazi kuwajibika katika malezi ya watoto wao.

“Hawa watoto ndiyo viongozi wa nchi tunaowategemea kesho, kwa hiyo tusipowajibika katika kuwatunza na kuwalinda tunakuwa tunaharibu taifa letu, ni vema kila mzazi, mlezi na jamii yote iwajibike katika kumlinda mtoto,”alisema Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)Jimbo la Mashariki na Pwani, Dk. Alex Malasusa.

Alisema: “Asilimia kubwa ya watoto huharibika tabia kutokana na kukosa uangalizi wa wazazi ambao wanabanwa na shughuli za kila siku, hivyo wanapaswa watenge muda wa malezi. Tuombe kwamba kila unapobarikiwa kupata mtoto, uwajibike pia na katika kumlea na kumlinda.”

Machi 28, mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan wakati akipokea taarifa ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ya mwaka 2019/2020, aliiagiza kuharakishwa kwa kesi, kuziondoa zisizo na msingi ili kuondokana na idadi kubwa ya kesi ambazo serikali imekuwa ikishindwa.

Vilevile, Juni 13, mwaka huu, viongozi wa dini Zanzibar, walimwomba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi, kuangalia suala la viongozi hao wa uamsho ambao wako mahabusu kwa muda mrefu.

Miongoni mwa mambo waliyomwomba ni kuangalia kama wana hatia au la, badala ya kuendelea kusota rumande bila kujua hatima yao.

Chanzo: Nipashe
Huyu mnafiq alikuwa wapi siku zote?
 
Dalili hizi zimeanza kuonekana baada ya Shehe Mkuu wa BAKWATA Mufti Zuberi kuzitaka mamlaka kuharakishwa kusikilizwa kwa shauri lao. Ni dhahiri shahiri serikali haiwezi kupuuza ombi lake na hivyo DPP ama atashauriwa kulifuta shauri hilo au ataanzisha mchakato wa kusikilizwa shauri hilo haraka.

========

Alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa mkutano wa viongozi wa dini waliokutana kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.

Alisema ni miaka mingi sasa tangu kesi hiyo ianze kusikiliwa na kuomba wenye mamlaka ya kusimamia kesi kufanya haraka kusikiliza ili ifikie muafaka.

“Hatuwezi kuingilia mambo ya kisheria, lakini ninachoweza kuomba ni uharakishwaji wa kusikiliza kesi yao, kesi hii imekaa miaka mingi, suala hili niombe mamlaka husika ziharakishe kuisikiliza kwa sababu imekaa miaka mingi,” alisema Mufti na kuongeza:
“Usikilizwaji wa kesi kwa haraka na hukumu ikatolewa itajulikana nani ana hatia gani na achukuliwe hatua gani na nani hana, kuliko kukaa ndani muda mrefu bila kufahamu hatma yao.”

Miongoni mwa mambo mengine ambayo viongozi hao wa dini walizungumzia ni kuhusu vitendo vya ukatili vinavyoendelea kwa watoto na kuwataka wazazi kuwajibika katika malezi ya watoto wao.

“Hawa watoto ndiyo viongozi wa nchi tunaowategemea kesho, kwa hiyo tusipowajibika katika kuwatunza na kuwalinda tunakuwa tunaharibu taifa letu, ni vema kila mzazi, mlezi na jamii yote iwajibike katika kumlinda mtoto,”alisema Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)Jimbo la Mashariki na Pwani, Dk. Alex Malasusa.

Alisema: “Asilimia kubwa ya watoto huharibika tabia kutokana na kukosa uangalizi wa wazazi ambao wanabanwa na shughuli za kila siku, hivyo wanapaswa watenge muda wa malezi. Tuombe kwamba kila unapobarikiwa kupata mtoto, uwajibike pia na katika kumlea na kumlinda.”

Machi 28, mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan wakati akipokea taarifa ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ya mwaka 2019/2020, aliiagiza kuharakishwa kwa kesi, kuziondoa zisizo na msingi ili kuondokana na idadi kubwa ya kesi ambazo serikali imekuwa ikishindwa.

Vilevile, Juni 13, mwaka huu, viongozi wa dini Zanzibar, walimwomba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi, kuangalia suala la viongozi hao wa uamsho ambao wako mahabusu kwa muda mrefu.

Miongoni mwa mambo waliyomwomba ni kuangalia kama wana hatia au la, badala ya kuendelea kusota rumande bila kujua hatima yao.

Chanzo: Nipashe
Mnafiq sana huyu Sheikh Ubwabwa
 
Haya sasa Farid na Mselemu wameachiwa baada ya DPP kuwafutia mashtaka. Huu ni mpango uliopangwa na serikali kuonyesha kuwa inaheshimu mawazo au hoja za viongozi wa dini!
 
Dalili hizi zimeanza kuonekana baada ya Shehe Mkuu wa BAKWATA Mufti Zuberi kuzitaka mamlaka kuharakishwa kusikilizwa kwa shauri lao. Ni dhahiri shahiri serikali haiwezi kupuuza ombi lake na hivyo DPP ama atashauriwa kulifuta shauri hilo au ataanzisha mchakato wa kusikilizwa shauri hilo haraka.

========

Alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa mkutano wa viongozi wa dini waliokutana kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali yanayoendelea nchini.

Alisema ni miaka mingi sasa tangu kesi hiyo ianze kusikiliwa na kuomba wenye mamlaka ya kusimamia kesi kufanya haraka kusikiliza ili ifikie muafaka.

“Hatuwezi kuingilia mambo ya kisheria, lakini ninachoweza kuomba ni uharakishwaji wa kusikiliza kesi yao, kesi hii imekaa miaka mingi, suala hili niombe mamlaka husika ziharakishe kuisikiliza kwa sababu imekaa miaka mingi,” alisema Mufti na kuongeza:
“Usikilizwaji wa kesi kwa haraka na hukumu ikatolewa itajulikana nani ana hatia gani na achukuliwe hatua gani na nani hana, kuliko kukaa ndani muda mrefu bila kufahamu hatma yao.”

Miongoni mwa mambo mengine ambayo viongozi hao wa dini walizungumzia ni kuhusu vitendo vya ukatili vinavyoendelea kwa watoto na kuwataka wazazi kuwajibika katika malezi ya watoto wao.

“Hawa watoto ndiyo viongozi wa nchi tunaowategemea kesho, kwa hiyo tusipowajibika katika kuwatunza na kuwalinda tunakuwa tunaharibu taifa letu, ni vema kila mzazi, mlezi na jamii yote iwajibike katika kumlinda mtoto,”alisema Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)Jimbo la Mashariki na Pwani, Dk. Alex Malasusa.

Alisema: “Asilimia kubwa ya watoto huharibika tabia kutokana na kukosa uangalizi wa wazazi ambao wanabanwa na shughuli za kila siku, hivyo wanapaswa watenge muda wa malezi. Tuombe kwamba kila unapobarikiwa kupata mtoto, uwajibike pia na katika kumlea na kumlinda.”

Machi 28, mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan wakati akipokea taarifa ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ya mwaka 2019/2020, aliiagiza kuharakishwa kwa kesi, kuziondoa zisizo na msingi ili kuondokana na idadi kubwa ya kesi ambazo serikali imekuwa ikishindwa.

Vilevile, Juni 13, mwaka huu, viongozi wa dini Zanzibar, walimwomba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi, kuangalia suala la viongozi hao wa uamsho ambao wako mahabusu kwa muda mrefu.

Miongoni mwa mambo waliyomwomba ni kuangalia kama wana hatia au la, badala ya kuendelea kusota rumande bila kujua hatima yao.

Chanzo: Nipashe

Wee ngoma ya Isoko. Tayari kule wameshatolewa. Wako huru mtaani.
 
Wee ngoma ya Isoko. Tayari kule wameshatolewa. Wako huru mtaani.
🤣🤣🤣 Niliona dalili! Serikali na BAKWATA wanavyotuchezea akili, yaani serikali inaitaka BAKWATA itoe tamko ikiwa tayari imekwishaamua kuwaachia!
 
Back
Top Bottom