dkims
Senior Member
- Mar 25, 2010
- 148
- 24
sidhani kama uko sahihi hata kwa asilimia 0.00000000001,! tataizo kubwa ni vipaumbele vyetu na viongozi wetu wa kiislamu! baadala ya kutafuta jinsi ya kuikomboa jamii ya kiislamu kutoka kwenye ujinga tulionao wanakalia mahakama ya kadhi na kutoa matamko tu ya kuwajibu wakristo bila kujua kwamba mda unapote bila kuvuna chochote.
watoto wengi wa kiislamu ukanda wa pwani wazazi wao hawajasoma kwahiyo hawapati msisitizo wa kuipenda elimu tofauti na wenzetu wa upande wapili,! kilichobaki ni watoto kuunda maCAMP ya kucheza kiduku na taarabu, kuimba bongo flavor, kuvaa suruali chini ya makalio na kuweka kambi kwenye beach tu! mda wa shule haupo!
mda wa kuambiana ukweli na sio kuleta siasa za majitaka za udini, bila kuweka effort kwenye shule waislamu tubaki kuwa watu wa kulalama tuuuuuuuuu.
watoto wengi wa kiislamu ukanda wa pwani wazazi wao hawajasoma kwahiyo hawapati msisitizo wa kuipenda elimu tofauti na wenzetu wa upande wapili,! kilichobaki ni watoto kuunda maCAMP ya kucheza kiduku na taarabu, kuimba bongo flavor, kuvaa suruali chini ya makalio na kuweka kambi kwenye beach tu! mda wa shule haupo!
mda wa kuambiana ukweli na sio kuleta siasa za majitaka za udini, bila kuweka effort kwenye shule waislamu tubaki kuwa watu wa kulalama tuuuuuuuuu.