Mufti na Sheikh Mkuu Abubakar Zubeir: Mwezi haujaonekana, mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan utaanza Jumapili March 02,2025

Alishaomba anunulie Darubini, je amepata? isijekuwa sarakasi za makusudi ili aseme si niliwaambia?
 
Ndugu zangu Aya mambo yanahutaji uchamungu na mazingira lkn kama elimu watu wanayo Sina hakika kama wote wanaopindisha ni kwasabb ni wapumbav isipokuwa wengi wao wanafanya kwasabb ya matumbo Yao na kuwafurahisha watawala
 
Ndugu zangu Aya mambo yanahutaji uchamungu na mazingira lkn kama elimu watu wanayo Sina hakika kama wote wanaopindisha ni kwasabb ni wapumbav isipokuwa wengi wao wanafanya kwasabb ya matumbo Yao na kuwafurahisha watawala
Hili suala limeshajadiliwa na wana wazuoni waliyopita na wa sasa na fatwa zilishatolewa.

Na kwa nini wana wazuoni? Kwa sababu adila za sheria zipo 4.

Qur'an na sunna ndiyo asili. Ijmaa na Qiyas ni ncha zake.

Mkutano wa wana wazuoni uliyofanyika Saudia Majmaal Fiqh Al Islam ulishatoa mwongozo kwa zama zetu kuwa kila nchi ifuate mwandamo wa kwake.

Na fatwa zipo nyingi sana! Ukibahatika kwenda hija pitia kwenye vibanda vya fatawa watakupatia hukumu hizo hizo kwani kuuliza ni ruhusa.

Tena kongamano la wana wazuoni likahitimisha kuwa; maamuzi ya mwandamo wa mwezi yanapaswa kufanywa na mahakama za kiislamu au Taasisi rasmi za kiislamu ndani ya kila nchi.

Kuna wengine wanajiamulia kufunga wao wenyewe kwa kufuata mwezi mwandamo wa kimataifa, hili suala halipo! Kwa sababu ikifuatwa kauli yenye nguvu ndiyo hiyo ya mwezi wa eneo lako.
 
Sawa ndugu wa Bakwata ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…