Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
View attachment 2207860Asante kwa attachmentView attachment 2207860
yaan acha tu,kenya wametangaza kesho sikukuu.......Sikukuu ya IDI imekuwa ikikanganya watu, haieleweki siku ya sikukuu.
Kwanini Sikukuu hii haina siku maalumu?
kesho kutwa ni lazima iwe Idi.HV ikitikea kabsa haujaonekana itakuwaje mbele Zaid sikubtano
Haikanganyi, fuatilia taarifaSikukuu ya IDI imekuwa ikikanganya watu, haieleweki siku ya sikukuu.
Kwanini Sikukuu hii haina siku maalumu?
Sitaki taarifa, nataka iwe na tarehe maalumuHaikanganyi, fuatilia taarifa
Ila maaskofu mashoga wanaaminiana?Wavaa kobazi hawaaminiani..kila mtu na lwake.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee!Usisahau kwamba CCM inaongozwa na low mind Samia unayemsifiaga
Kwa hiyo kama unamkataa shetani (CCM) kataa na fahari zake zote (including raisi wa bahati mbaya Bi. Mikopo)
Sikukuu ya IDI imekuwa ikikanganya watu, haieleweki siku ya sikukuu.
Kwanini Sikukuu hii haina siku maalumu?
Sikukuu ya IDI imekuwa ikikanganya watu, haieleweki siku ya sikukuu.
Kwanini Sikukuu hii haina siku maalumu?
Wataforce ifanyike.HV ikitikea kabsa haujaonekana itakuwaje mbele Zaid sikubtano