Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo mbili. Eid Mosi na Eid pili. Na zote ni Public HolidaysNauliza wajameni eid hii ina eid mosi na eid pili au ni eid moja tuu????
na hawaIla maaskofu mashoga wanaaminiana?
#MaendeleoYanaChama
HV ikitikea kabsa haujaonekana itakuwaje mbele Zaid sikubtano
Mpaka mwezi uandame! Kinyume na hapo, hakuna sikukuu.Sikukuu ya IDI imekuwa ikikanganya watu, haieleweki siku ya sikukuu.
Kwanini Sikukuu hii haina siku maalumu?
😂😂😂😂Sikukuu ya IDI imekuwa ikikanganya watu, haieleweki siku ya sikukuu.
Kwanini Sikukuu hii haina siku maalumu?
waendelee kufunga tuHV ikitikea kabsa haujaonekana itakuwaje mbele Zaid sikubtano
Kwa sababu inategemea mwandamo wa mwezi au kumalizika kwa mfungo.Sikukuu ya IDI imekuwa ikikanganya watu, haieleweki siku ya sikukuu.
Kwanini Sikukuu hii haina siku maalumu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bi Mikopo, lolUsisahau kwamba CCM inaongozwa na low mind Samia unayemsifiaga
Kwa hiyo kama unamkataa shetani (CCM) kataa na fahari zake zote (including raisi wa bahati mbaya Bi. Mikopo)
Wanakupelekea moto ndio mana unawajua.Ila maaskofu mashoga wanaaminiana?
#MaendeleoYanaChama
Leo mwezi utakuwa mkubwa kama juwa ndio utaona aibu ya watu lakini wale mishipa ya aibu imeshakatika. Mwezi wa siku ya kwanza mdogo sana na shida kuona leo hata kipofu ataona mwezi lakini kwakuwa hawana aibu basi kimyaa.Kwamaana hiyo anauhakika leo utaandama utake usitake.... nchi hii tunaishi kisanii sana
Ungebinafsisha kauli yako, kwa Kusema Kesho naswali Eid etc ingekuwa vizuri zaidi;Kesho tunaswali eid hatusikilizi ushenz na upotoshaji wenu
Mufti wa Tanzania ni muongo, mnafiki na anatumika kisiasa kwa kumtumia yule wa mkoa wa dar.Mufti wa Tanzania,Abubakary Zuberi amewatangazia waumini
wa dini ya Kiislam nchini Mwezi haujaandama, hivyo Waislam wakamilishe funga ya Mwezi mtukufu wa Ramadhani kesho Jumatatu, hivyo sikukuu itakuwa keshokutwa Jumanne tarehe 03/05/2022.
Kwa hiyo kesho watu waendelee kupiga kazi.