Mugabe Mungu anakuona ujue!

Mugabe Mungu anakuona ujue!

Leo Nifah kanikumbusha kuhusu misemo ya mzee Mugabe. Kama ni kweli hii misemo ni yake basi yule mzee anazeeka vibaya sana na inabidi apumzike tu. Sijui anakulaga nini aisee.
Ila ana uwezo mkubwa sana wa kufikiri maana siyo kwa kiwango hiki.

1. Respect pregnant women because its not easy walking around with evidence that you've had sex.

2. It's hard to bewitch African girls these days. Every time you take a piece from her hair to the witch doctor, either a Brazilian innocent woman gets mad or a factory in china gets fire.

3. If your ugly, you are ugly. Stop talking about inner beauty because men don't walk around with X-rays to see their inner beauty.

4. If you have attended over 100 weddings in your life and are still single, you are not different from a canopy.

5. All i hear always is, "No sex before marriage" If that was God's plan,then you would receive your vagina or penis on your wedding day.

6. Dating a slim guy is cool. The problem is when your lying on his chest then his ribs draw Adidas lines on your face.

7. Being dumped by a dark skinned girl is the worst ever, because anytime you get home and see charcoal, you become emotional.

8. Even satan wasn't gay: He approached naked Eve instead of naked Adam. Say no to same sex marriages.

9. The only white man you can trust is a dead white man.

10. Virginity is the best wedding gift any man would receive from his newly wed wife but lately, there is nothing as such any longer because it'll have already been given out as a birthday gift, token of appreciation, job assurance, church collection, examination marking schemes and for lorry fares.

CC: Red Giant , Consigliere , FisadiKuu , MSEZA MKULU
Tupieni na ya mzee kichefuchefu moja
1 serikali aikuleta. tetemeko watu bukoba mta JJ
2rushwa ya trafiki ni ya kupigia kiwi viatu
3 fotoeni watoto elimu bure[emoji90]
 
Tupieni na ya mzee kichefuchefu moja
1 serikali aikuleta. tetemeko watu bukoba mta JJ
2rushwa ya trafiki ni ya kupigia kiwi viatu
3 fotoeni watoto elimu bure[emoji90]
Za huyu jamaa sidhani kama zinaelimisha na kutafakarisha. Ila za mugabe kwa hali ya nje utafikiri ni utani ila ukikaa na kuziwaza ndiyo utajua fumbo lililopo ndani
 
Za huyu jamaa sidhani kama zinaelimisha na kutafakarisha. Ila za mugabe kwa hali ya nje utafikiri ni utani ila ukikaa na kuziwaza ndiyo utajua fumbo lililopo ndani
Zinatuelimisha kuwa umilembe unausika
 
1480059141860.png
 
Hiyo inaonyesha kutokuwa na uelewa wa maana ya serikali na wajibu wake kwa taifa
Husasani kipindi hiki. Mtu unadanganywa na bado unakubali ilhali uthibitisho uko. Sasa hapo huoni ni funzo kuliko huyo anayesema zalianeni
 
Husasani kipindi hiki. Mtu unadanganywa na bado unakubali ilhali uthibitisho uko. Sasa hapo huoni ni funzo kuliko huyo anayesema zalianeni
Tatizo letu atujui maana ya magonjwa ya akili tutajuaje wakati hata maana ya akili atujui watu wanazani ugonjwa wa akili ni kuokota makopo kutembea uchi kumbe kitaalamu hata mtu kuwa msafi kupita kawaida inaweza kuwa ni dalili za ugonjwa wa akili hasira chuki visasi ila siyo kila hasira chuki na visasi ni dalili za ugonjwa
 
Watanzania wengi ndivyo wanavyofikiria ndugu
 
Mugabe ni babu, kutaniwa ni kawaida.
Mugabe ni Msomi aliyetukuka. Ana degree 11.
Alifungwa Jela miaka11 , na alilitumia muda huo vizuri.
Wazungu na hasa Waingereza wanamjua Mugabe vizuri kiasi kwamba wanashindwa kumtolea changamoto kwa lugha yao.
Mwache babu y etu.
He is the brightest black African President still alive. Long live Mr. President Robert Mugabe.
 
Na hataki kuachia kiti. Akili yake imeanza kurudi utoto maana hata hayo maneno ni ya enzi za utoto pia.
 
Back
Top Bottom