Mugalu Found Himself Finally

Mugalu Found Himself Finally

Mario Kejob

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2020
Posts
441
Reaction score
536
Mimi ni miongoni mwa washabiki wa Simba ambao tulikuwa tunakerwa sana na jinsi Mugalu alivyokuwa anakosa magoli ya wazi awapo mchezoni.

Lakini kwa yale magoli aliyofunga dhidi ya KMC jana ambayo ni classic, naona sasa amejielewa na angefanya hivyo tangu alipowasili, fainali ingekuwa yetu kama sio kuchukuwa kombe la CAF.

BIG UP MUGALU AND KEEP IT UP.
 
Back
Top Bottom