Mugalu, Kagere na Thadeo Lwanga hawajam-impress kocha Zoran

Structure za uongozi kwa vilabu vya Africa na Ulaya ni mbingu na ardhi.

Makocha wengi wanaokuja katika bara la Africa ni kama wengi hawajui wachezaji kwenye nchi zingine kwa sababu ligi nyingi hazionekani.

Huyo kocha atakupa pendekezo la mchezaji gani ukiondoa wachezaji wanaocheza kwenye CAFCL na CAFCC?.

Ni heri viongozi wasajili litabaki suala la mwalimu kutengeneza kikosi kupitia wachezaji waliopo.

Patrick Ausems hakuwahi kulalamikia kikosi except alipoondoka Okwi., Sven hajawahi kulalamikia Kikosi alichokikuta na aliweza kuandaa timu ya ushindani kupitia wachezaji wale wale aliowakuta wamesajiliwa na viongozi.
 
Mugalu katucost sana Kwa kukosa goli za wazi na majeruhi mara Kwa mara,, lwanga form haijarudi na Kagere sijui nini kimemkuta, bocco anabebwa sababu ya uzawa
Si kweli Timu yetu msimu uliopita haikuwa na ubora kwenye maeneo mengi ya uwanja.

Na Simba kufanya vibaya msimu uliopita ni kutokana na mwalimu kushindwa kutengeneza squad ya ushindani wakati alikuwa na wachezaji wengi wenye uwezo wa kumpa matokeo.

Hao kina Mugalu na Kagere tuwaache kwa sababu zingine kabisa ila siyo kukosa chances za magoli.

After all Mugalu na Bocco msimu uliopita walikuwa na majeraha ya mara kwa mara ndiyo maana hawakuwa sawa uwanjani lakini bado wanaweza sana kukupa squad depth nzuri.
 
Tatizo lilikopo simba ni mgogoro wa viongozi, unatafuna ndani kwa ndani. Yaan sijui hata nn kifanyike. Khaaaah.
Huwa nawapenda mashabiki wawazi na wakweli kama wewe. Hili liko Wazi Sana ndani ya Simba kuna shida Kwa Sasa, malizeni mgogoro wenu tunataka soka Sisi.
 
Naomba nikusahihishe kuhusu Chiko. Hakusajiliwa kabisa na Nabi, Yanga wenyewe wanajua. Yule kiungo wao Mukoko hakutaka kuwekwa kabisa benchi wakati wao walitaka Aucho acheze maana ndo mkataba wake ulivyotaka. Wakalazimika kumtema mmoja na timu iliyomchukua haikutaka kutoa fedha ndo maana wakawapa mchezaji majanga Kwa majeruhi Chico Ushindi anayecheza nafasi tofauti na waliyemtoa.
 
Barca wameenda preseason na De jong na bado wanampango wa kumuacha, vitu vingine hata sio vya kushangaa.
Timu zinaenda na Wachezaji wanaotaka kuwauza na siyo wanaotaka kuwaacha.
 
Mawazo ya washangiliaji.
 
Do you like losing? Why tf would you retain these players? Unataka kushindana na Yanga bado wachezaji wako ni kagere, mugalu & lwanga? You're Not serious.
 
Viongozi washakula ganji lao wanapiga miluzi na ukisema uvunje mkataba unatakiwa umlipe mchezaji wakati hajacheza hata mechi moja,dadadeki na siku za usajili zina yoyoma.
 
Do you like losing? Why tf would you retain these players? Unataka kushindana na Yanga bado wachezaji wako ni kagere, mugalu & lwanga? You're Not serious.
Simba sio level ya yanga, yanga Ni level ya akina mtibwa , toto , ihefu nk, Simba Ni level nyingine ya juu Sana usiifananishe na uto, akili ya Simba inawaza nusu final kwnda mbele ya CUF champions league, yanga anawaza kombe la shirikisho , mapinduzi na ngao ya jamii!

Usiifananishe Simba na Kinye FC
 
Kwa hiyo wamepandishwa ndege kuja kumalizana na uongozi ambao uko chini ya CEO waliyemuacha Misri? Usituone mapimbi asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…