Mugalu kapost picha instagram saa 8 usiku akiwa anatafuta goli vs Yanga, atukanwa vibaya

Mugalu kapost picha instagram saa 8 usiku akiwa anatafuta goli vs Yanga, atukanwa vibaya

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Kuna uwezekano MSHAMBULIAJI NAMBARI MOJA NA TEGEMO KUU LA SIMBA SC, Chris Mugalu akawa na ugonjwa wa akili nawaambia nyie hata kama ni mgeni hujali kuhusu derby kuwa na uchu basi kama wale vijana wa utopolo kina Aucho mbona wao ndiyo mara ya kwanza wamepambana wewe una mechi 3 na utopolo hujazoea tu?

Hili jamaa ndilo likikosa magoli huwa linacheka na kutafuna big G . ANYWAY NASiKIA ANAMKULA MTU FULANI MUHIMU MWANAMKE HAPO SIMBA NI FUNUNU TU ila naanza kuamini maana siyo bure upuuzi huu what a waste RUBBISH SO CALLED STRIKER

hata saa nane usiku huu MSHAMBULIAJI TEGEMEO NAMBARI MOJA WA SIMBA KA POST PICHA AKIWA BIZE KUITAFUTIA SIMBA GOLI LA KUSAWAZISHA KA POST SAA NANE ILA KAKUTANA NA COMMENTS ZENYE HASIRA NA STRESS ZA KUTOSHA

Screen Shot 2021-09-26 at 02.34.08.png
 
"Sifa moja kubwa ya Mugalu anakaba mabeki"hao team Mugalu wanasema hivyo.

Twende sasa kwenye uhalisia,Simba kwa stricker kama Mugalu nafasi 5 hafungi wala agongeshi mwamba yeye ni kupaisha tu mbona hata makundi CAFCL hatutoboi.
 
Ahahha ajui kiswahili, mashabiki inabidi wakomenti kwa kingereza au kifaransa ndo ataelewa hisia za mashabiki kwake..
anakijua vizuri sana mnoo tena katokea pande za congo wanaojua kiswahili yaani ujumbe anaujua kuna wengine wamemtishia hadi maisha ila he doesnt care aisee anaudhi sana nafikiri very soon washabiki wa simba wataacha kwenda uwanjani
 
anakijua vizuri sana mnoo tena katokea pande za congo wanaojua kiswahili yaani ujumbe anaujua kuna wengine wamemtishia hadi maisha ila he doesnt care aisee anaudhi sana nafikiri very soon washabiki wa simba wataacha kwenda uwanjani
Acha wasiende kwan lazima
Pumbavu kabsaaa wanywe sumu wafe Kama kweli wameumia
Walitaka Nani afungwe
Yaan mpira ni kama haemophrodite yaan konokono atakae muwahi mwenzake anamuingizia mkuyenge anabeba mimba

Kwa hiyo mikia watulie utopolo wamewawahi watulie tuli wabebe mimba
 
Acha wasiende kwan lazima
Pumbavu kabsaaa wanywe sumu wafe Kama kweli wameumia
Walitaka Nani afungwe
Yaan mpira ni kama haemophrodite yaan konokono atakae muwahi mwenzake anamuingizia mkuyenge anabeba mimba

Kwa hiyo mikia watulie utopolo wamewawahi watulie tuli wabebe mimba
kweli kabisa maneno yako ya busara yamenifanya nisilalamike tena ngoja nikawaambie wana simba wenzagu tuache kumlalamikia striker letu nambari moja Mugaluuuuu
 
kwani hatuna haki mkuu binafsi nikimkuta chooni bar au club nampiga vibao vya kutosha ila sababu ni lijinga litakuwa linatafuna big g na kucheka kama linavyofanyaga likikosa magoli
Acha bange wewe ndio unamlipa mshahara? Mbona unaumia kuzid mtoa pesa watim kaaa kwakutulia
 
Acha wasiende kwan lazima
Pumbavu kabsaaa wanywe sumu wafe Kama kweli wameumia
Walitaka Nani afungwe
Yaan mpira ni kama haemophrodite yaan konokono atakae muwahi mwenzake anamuingizia mkuyenge anabeba mimba

Kwa hiyo mikia watulie utopolo wamewawahi watulie tuli wabebe mimba
Makolo yamepoteana
 
Nimeona kapost na emoji ya kulia,halafu raia zinamshambulia tu🤣
IMG_20210926_081113.jpg
 
Kuna uwezekano MSHAMBULIAJI NAMBARI MOJA NA TEGEMO KUU LA SIMBA SC, Chris Mugalu akawa na ugonjwa wa akili nawaambia nyie hata kama ni mgeni hujali kuhusu derby kuwa na uchu basi kama wale vijana wa utopolo kina Aucho mbona wao ndiyo mara ya kwanza wamepambana wewe una mechi 3 na utopolo hujazoea tu?

Hili jamaa ndilo likikosa magoli huwa linacheka na kutafuna big G . ANYWAY NASiKIA ANAMKULA MTU FULANI MUHIMU MWANAMKE HAPO SIMBA NI FUNUNU TU ila naanza kuamini maana siyo bure upuuzi huu what a waste RUBBISH SO CALLED STRIKER

hata saa nane usiku huu MSHAMBULIAJI TEGEMEO NAMBARI MOJA WA SIMBA KA POST PICHA AKIWA BIZE KUITAFUTIA SIMBA GOLI LA KUSAWAZISHA KA POST SAA NANE ILA KAKUTANA NA COMMENTS ZENYE HASIRA NA STRESS ZA KUTOSHA

View attachment 1953054
[emoji16][emoji16][emoji16] Mugalu anasuuza [emoji1646] kwa lady [emoji2926] [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna uwezekano MSHAMBULIAJI NAMBARI MOJA NA TEGEMO KUU LA SIMBA SC, Chris Mugalu akawa na ugonjwa wa akili nawaambia nyie hata kama ni mgeni hujali kuhusu derby kuwa na uchu basi kama wale vijana wa utopolo kina Aucho mbona wao ndiyo mara ya kwanza wamepambana wewe una mechi 3 na utopolo hujazoea tu?

Hili jamaa ndilo likikosa magoli huwa linacheka na kutafuna big G . ANYWAY NASiKIA ANAMKULA MTU FULANI MUHIMU MWANAMKE HAPO SIMBA NI FUNUNU TU ila naanza kuamini maana siyo bure upuuzi huu what a waste RUBBISH SO CALLED STRIKER

hata saa nane usiku huu MSHAMBULIAJI TEGEMEO NAMBARI MOJA WA SIMBA KA POST PICHA AKIWA BIZE KUITAFUTIA SIMBA GOLI LA KUSAWAZISHA KA POST SAA NANE ILA KAKUTANA NA COMMENTS ZENYE HASIRA NA STRESS ZA KUTOSHA

View attachment 1953054
Afadhali mmekuwa bize sasa kuongelea timu yenu. Maana kila dakika mlikuwa mnaleta uzandiki na uchonganishi kuhusu Yanga.
 
anakijua vizuri sana mnoo tena katokea pande za congo wanaojua kiswahili yaani ujumbe anaujua kuna wengine wamemtishia hadi maisha ila he doesnt care aisee anaudhi sana nafikiri very soon washabiki wa simba wataacha kwenda uwanjani
Mbona mapema sana kususa kuingia Uwanjani?tuliwaambia hapa kuwa nyinyi hamjui na hampendi mpira bali mnapenda ushindi tuu. Yangu tumepitia magumu miaka 4 but tulikuwa sambamba na timu yetu kwenye shida na raha mpaka tukafikia hatua ya kuingiza mashabiki wengi Uwanjani licha ya kufanya vibaya. Kweli kuimba kupokezana aiseee.
 
Back
Top Bottom