CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Kuna uwezekano MSHAMBULIAJI NAMBARI MOJA NA TEGEMO KUU LA SIMBA SC, Chris Mugalu akawa na ugonjwa wa akili nawaambia nyie hata kama ni mgeni hujali kuhusu derby kuwa na uchu basi kama wale vijana wa utopolo kina Aucho mbona wao ndiyo mara ya kwanza wamepambana wewe una mechi 3 na utopolo hujazoea tu?
Hili jamaa ndilo likikosa magoli huwa linacheka na kutafuna big G . ANYWAY NASiKIA ANAMKULA MTU FULANI MUHIMU MWANAMKE HAPO SIMBA NI FUNUNU TU ila naanza kuamini maana siyo bure upuuzi huu what a waste RUBBISH SO CALLED STRIKER
hata saa nane usiku huu MSHAMBULIAJI TEGEMEO NAMBARI MOJA WA SIMBA KA POST PICHA AKIWA BIZE KUITAFUTIA SIMBA GOLI LA KUSAWAZISHA KA POST SAA NANE ILA KAKUTANA NA COMMENTS ZENYE HASIRA NA STRESS ZA KUTOSHA
Hili jamaa ndilo likikosa magoli huwa linacheka na kutafuna big G . ANYWAY NASiKIA ANAMKULA MTU FULANI MUHIMU MWANAMKE HAPO SIMBA NI FUNUNU TU ila naanza kuamini maana siyo bure upuuzi huu what a waste RUBBISH SO CALLED STRIKER
hata saa nane usiku huu MSHAMBULIAJI TEGEMEO NAMBARI MOJA WA SIMBA KA POST PICHA AKIWA BIZE KUITAFUTIA SIMBA GOLI LA KUSAWAZISHA KA POST SAA NANE ILA KAKUTANA NA COMMENTS ZENYE HASIRA NA STRESS ZA KUTOSHA