Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
ni ahlan wasahlan ......not "alhan"Alhan wa sahlan
Ukicheki tathmini ya Mshambuliaji machachari Christiano Mugalu aka (the animal) toka ajiunge na Magwiji wa soka nchini Tanzania, yes naizungumzia Simba de sportive club ukipenda waite wekundu wa msimbazi zinaonesha kuwa ndie mshambuliaji bora zaidi kutoka nchini DRC kuwahi kusukuma kabumbu katika ardhi ya Tanzania.
Umahiri wa Mugalu unatokana na uwezo wake mkubwa wa kuumiliki mpira, mikimbio yake akiwa na mpira au akiwa hana mpira na pia jinsi anavyoweza kuifungua defence ya timu pinzani na kucreate half chances kwa attavking midfielders kuweza kuscore na mwisho wa yote ni goal poacher ukipenda muite clinical finisher.
Dakika anazocheza Mugalu uwanjani ukilinganisha na wastani wa mabao ya kufunga ni wazi kuwa amemuacha sana mbali overated striker Fiston Mayele . Mugalu ni aina ya mchezaji ambaye haitaji dakika nyingi uwanjani kuweza kukuonesha maajabu yake.
Mwisho kabisa napenda kusema kuwa hizo dola 350000/= (milioni 800) ambazo tunaenda kuzipokea kutoka CAF mara baada ya kutinga hatua ya robo fainali tutaichangia klabu ya Young African ili iweze kuboresha uwanja wake wa Kaunda pale Jangwani.
Asanteni!
Ana magoli mangapi kwenye ligi kuu ya bongoAlhan wa sahlan
Ukicheki tathmini ya Mshambuliaji machachari Christiano Mugalu aka (the animal) toka ajiunge na Magwiji wa soka nchini Tanzania, yes naizungumzia Simba de sportive club ukipenda waite wekundu wa msimbazi zinaonesha kuwa ndie mshambuliaji bora zaidi kutoka nchini DRC kuwahi kusukuma kabumbu katika ardhi ya Tanzania.
Umahiri wa Mugalu unatokana na uwezo wake mkubwa wa kuumiliki mpira, mikimbio yake akiwa na mpira au akiwa hana mpira na pia jinsi anavyoweza kuifungua defence ya timu pinzani na kucreate half chances kwa attavking midfielders kuweza kuscore na mwisho wa yote ni goal poacher ukipenda muite clinical finisher.
Dakika anazocheza Mugalu uwanjani ukilinganisha na wastani wa mabao ya kufunga ni wazi kuwa amemuacha sana mbali overated striker Fiston Mayele . Mugalu ni aina ya mchezaji ambaye haitaji dakika nyingi uwanjani kuweza kukuonesha maajabu yake.
Mwisho kabisa napenda kusema kuwa hizo dola 350000/= (milioni 800) ambazo tunaenda kuzipokea kutoka CAF mara baada ya kutinga hatua ya robo fainali tutaichangia klabu ya Young African ili iweze kuboresha uwanja wake wa Kaunda pale Jangwani.
Asanteni!
Hamchelewi kumgeuka asipofungaUkiacha swala la kufunga Mugalu Ana offer vitu vingi uwanjani, kifupi ni mchezaji wa kileo hasa kwa mech zenye pressure ameonekana mara nyingi kuwa na utulivu.
ni ahlan wasahlan ......not "alhan"
Simba moja Mzee ....
Mugalu ana magoli mengi katika mechi za kimataifa kuliko kikosi chote cha wanga African ...bisha nikujegejeAna magoli mangapi kwenye ligi kuu ya bongo
Mi ni simba damu ila tangu nipate akili timamu na nianze kushabikia soka la bongo sijawahi kuona forward hatari kama MAYELE
Hakuna mashabiki wanafiki kama wa MakoloKesho tu wataanza kumdiss tena, hawa si ndo walikua wanamlaumu kocha kwa kumuanzisha huyu jamaa. Leo kisa kafunga basi misifa kedekede, wamefuta makosa yote kwa mechi 1.
Akiboronga mechi ijayo wanamkalia kooni kocha kwa kumkumbatia.
Mfano leo [emoji23]Mashabiki wa simba bhana! Dakika 2 mbili zilizopita utawasikia 'hatumtaki Mugalu'! Dk mbili zijazo, 'Mugalu' ni mchezaji bora kuliko Mayele! [emoji16][emoji16]
Uko sahihiKesho tu wataanza kumdiss tena, hawa si ndo walikua wanamlaumu kocha kwa kumuanzisha huyu jamaa. Leo kisa kafunga basi misifa kedekede, wamefuta makosa yote kwa mechi 1.
Akiboronga mechi ijayo wanamkalia kooni kocha kwa kumkumbatia.
ukweli kabisaMi ni simba damu ila tangu nipate akili timamu na nianze kushabikia soka la bongo sijawahi kuona forward hatari kama MAYELE
Mfano mechi ya leo na Polisi kafanya maajabu gani?Ukiacha swala la kufunga Mugalu Ana offer vitu vingi uwanjani, kifupi ni mchezaji wa kileo hasa kwa mech zenye pressure ameonekana mara nyingi kuwa na utulivu.
Kwa hiyo wew uliyaka afanyeje kama anatoa pass watu wanakosa. Kifupi timu nzima jana ilizingua as if kuna kitu hakipo sawa hata mechi iyopita na coastal walicheza kawaida sana.Mfano mechi ya leo na Polisi kafanya maajabu gani?
Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji848]Ndio mjipange sasa sio mnakosa cordination kama timuKwa hiyo wew uliyaka afanyeje kama anatoa pass watu wanakosa. Kifupi timu nzima jana ilizingua as if kuna kitu hakipo sawa hata mechi iyopita na coastal walicheza kawaida sana.
Haha, nipo nae hapa anatafuna jojoKwa Jinsi Mugalu Alivyokuwa Akizungumzwa Na Mashabiki Wa Timu Yake Tangu Msimu Uanze Akija Kuona Hapa Saiv Anaweza Kufariki Kwa Huu Unafki Dhidi Yake
Haha kweli kabsaHakuna mashabiki wanafiki kama wa Makolo
Mashabiki Wa Simba Ni Wanafki Na WazandikHaha, nipo nae hapa anatafuna jojo