Mugalu ni bora kuliko Mayele 50!

Mugalu ni bora kuliko Mayele 50!

Kesho tu wataanza kumdiss tena, hawa si ndo walikua wanamlaumu kocha kwa kumuanzisha huyu jamaa. Leo kisa kafunga basi misifa kedekede, wamefuta makosa yote kwa mechi 1.

Akiboronga mechi ijayo wanamkalia kooni kocha kwa kumkumbatia.
 
Alhan wa sahlan

Ukicheki tathmini ya Mshambuliaji machachari Christiano Mugalu aka (the animal) toka ajiunge na Magwiji wa soka nchini Tanzania, yes naizungumzia Simba de sportive club ukipenda waite wekundu wa msimbazi zinaonesha kuwa ndie mshambuliaji bora zaidi kutoka nchini DRC kuwahi kusukuma kabumbu katika ardhi ya Tanzania.

Umahiri wa Mugalu unatokana na uwezo wake mkubwa wa kuumiliki mpira, mikimbio yake akiwa na mpira au akiwa hana mpira na pia jinsi anavyoweza kuifungua defence ya timu pinzani na kucreate half chances kwa attavking midfielders kuweza kuscore na mwisho wa yote ni goal poacher ukipenda muite clinical finisher.

Dakika anazocheza Mugalu uwanjani ukilinganisha na wastani wa mabao ya kufunga ni wazi kuwa amemuacha sana mbali overated striker Fiston Mayele . Mugalu ni aina ya mchezaji ambaye haitaji dakika nyingi uwanjani kuweza kukuonesha maajabu yake.

Mwisho kabisa napenda kusema kuwa hizo dola 350000/= (milioni 800) ambazo tunaenda kuzipokea kutoka CAF mara baada ya kutinga hatua ya robo fainali tutaichangia klabu ya Young African ili iweze kuboresha uwanja wake wa Kaunda pale Jangwani.

Asanteni!
ni ahlan wasahlan ......not "alhan"

Simba moja Mzee ....
 
Alhan wa sahlan

Ukicheki tathmini ya Mshambuliaji machachari Christiano Mugalu aka (the animal) toka ajiunge na Magwiji wa soka nchini Tanzania, yes naizungumzia Simba de sportive club ukipenda waite wekundu wa msimbazi zinaonesha kuwa ndie mshambuliaji bora zaidi kutoka nchini DRC kuwahi kusukuma kabumbu katika ardhi ya Tanzania.

Umahiri wa Mugalu unatokana na uwezo wake mkubwa wa kuumiliki mpira, mikimbio yake akiwa na mpira au akiwa hana mpira na pia jinsi anavyoweza kuifungua defence ya timu pinzani na kucreate half chances kwa attavking midfielders kuweza kuscore na mwisho wa yote ni goal poacher ukipenda muite clinical finisher.

Dakika anazocheza Mugalu uwanjani ukilinganisha na wastani wa mabao ya kufunga ni wazi kuwa amemuacha sana mbali overated striker Fiston Mayele . Mugalu ni aina ya mchezaji ambaye haitaji dakika nyingi uwanjani kuweza kukuonesha maajabu yake.

Mwisho kabisa napenda kusema kuwa hizo dola 350000/= (milioni 800) ambazo tunaenda kuzipokea kutoka CAF mara baada ya kutinga hatua ya robo fainali tutaichangia klabu ya Young African ili iweze kuboresha uwanja wake wa Kaunda pale Jangwani.

Asanteni!
Ana magoli mangapi kwenye ligi kuu ya bongo
 
Mashabiki wa simba bhana! Dakika 2 mbili zilizopita utawasikia 'hatumtaki Mugalu'! Dk mbili zijazo, 'Mugalu' ni mchezaji bora kuliko Mayele! 😁😁
 
fforward wa nyiokoo, kachunge ng'ombe hukooo
Mi ni simba damu ila tangu nipate akili timamu na nianze kushabikia soka la bongo sijawahi kuona forward hatari kama MAYELE
 
Back
Top Bottom