Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Hii ni platform ya kutambulishana au kutoa maoni ?Umejificha kwa ID bandia halafu unakazana umecheza mpira ,nani anakujua hapa? Kama vipi jitambulishe wewe ni nani weka na picha tutakufahamu tu.
Kwanini usijitambulishe wewe kwanza alaf uniambie na mimi nijitambulishe ?
Alaf mbona kama umepatwa na Jazba kidogo nini tatizo ?
Jibu tafadhari.