Muguel Gamond hana mbinu za kuivusha Yanga

Muguel Gamond hana mbinu za kuivusha Yanga

Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu

Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo

Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua

Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo

KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo

Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Namkubali Gamondi, aende na falsafa yake hiyo hiyo. Boli linapigwa na timu itapata matokeo tu. Tusimlazimishe kocha atumie falsafa asiyoiamini. Hayo mambo yalimsumbua Robert mwisho kaonekana sio kocha. Kibabage alikosea nini mbona alikuwa anashambulia na kuzuia vizuri tu, tena kwa pasi za 1 vs 1.
 
Wewe umeongea.

Huyu jamaa hata alicho kiandika hakijui watu kama hawa wamejaa kwenye club kazi yao kupanikisha watu kwenye club.


Nyie ndio wale mashabiki mkifungwa mnakimbilia kamera kocha hamumtaki,ukiambiwa kocha ana mapungufu gani kimya.

Nyie ndio wale waandishi wa habari waliochanwa na Nabi baada ya kumfunga TP Mazembe,kuna mashabiki mpaka wachambuzi wakasema Nabi hawezi fanya vizuri kimataifa.

Haya kocha wenu Benchka huyo hapo kama viongozi wakiwa na akili kama zako,yule kocha hata valentine day hafiki.

Kocha ndio kwanza ana miezi miwili, kaikuta club,kutengeneza club kutoka na falsafa yake na resources zilizokiwepo mpaka sasa,ukitizama kafanikiwa.Kuna sehemu chache tu kama club wakimsupport kupata wachezaji wawili tu (Winga,Striker na namba sita).Unaona kabisa Yanga watakuwa wakali.
Mashabiki mandazi hao
 
Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu

Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo

Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua

Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo

KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo

Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Wakupe wewe timu uivushe maana unaweza kuliko gamond!
 
Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu

Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo

Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua

Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo

KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo

Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Kapimwe Malaria kabla haija panda kichwani
 
Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu

Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo

Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua

Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo

KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo

Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Mmeanza ...
 
Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu

Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo

Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua

Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo

KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo

Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
sasa rafiki farid mussa aliumia anauguzia majeraha
 
Mimi kwa mpira wanaocheza Yanga kwa sasa wala simlaumu kocha pira linachezwa kila mtu anaona boli linatembea bado unamlaumu kocha? Tatizo la Yanga kila mtu analijua hatuna washambuliaji wa maana Mzinze na Musonda kiwango Chao bado lakini tuna Imani kwenye dirisha dogo uongozi mapungufu hayo watayafanyia kazi
 
Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu

Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo

Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua

Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo

KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo

Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Mhn! We mwana Yanga kweli? Nashangaa na wakati kuna mafanikio makubwa sana kwenye klabu yenu ya 5-1
 
Tatizo la Yanga ni mshambuliaji wa kati, kiungo mkabaji wa kusaidiana na Aucho na winger. Yanga wakisajili wachezaji wazuri kwenye hizo nafasi watatinga nusu fainali
 
Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu

Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo

Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua

Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo

KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo

Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Gamondi hajapata washambuliaji wanaoendana na falsafa zake. Magoli wanapata mawinga na mabeki. Kuna haja pale mbele apatikane mshambuliaji aggressive kama enzi za phiri au mayele. Huku kwingine kote gamondi hana shida na atafika mbali
 
Nimeangalia mechi zote mbili ile ya Algeria na hii hapa ya kwa mkapa dhid ya Al alhly nachelea kusema pale hamna kocha wa mbinu

Mbinu pekee aliyonayo n kupress kwa kas basi na Wala hamuheshimu mpinzani wake hata kidogo

Katika mpira lazma kocha uweze kubadirika Kutoka na mpinzani wako anavyocheza lakn huyu Hana muda huo yeye n kasi kasi kasi basii ndyo anachojua

Mechi ya Algeria timu ingeweza hata kupata sare lakn hakumheshimu mpinzani wake hata kidogo

KOCHA NABI aliweza kucheza kwa mbinu japo zpo mech alizopoteza lakn alionesha mbinu za kimchezo

Kibabage hawez kumzid FARID MUSA Hana control mguuni Wala kumwaga maji sijui nn kimemkuta Farid Musa
Kocha hawezi kubadili mbinu na anawchezaji ambao kiasili ni wapiga pasi na wana nga'aa team iki possess ,wanavyocheza nyumbani na ugenini ni sawa sawa.Watajifunza Kwa vitendo namna ya kutofautisha club bingwa na shirikisho .
 
Kocha hawezi kubadili mbinu na anawchezaji ambao kiasili ni wapiga pasi na wana nga'aa team iki possess ,wanavyocheza nyumbani na ugenini ni sawa sawa.Watajifunza Kwa vitendo namna ya kutofautisha club bingwa na shirikisho .
Mpaka hizi mechi sita ziishe Yanga atakuwa ameimprove ssna
 
Back
Top Bottom