Muhammad Al Jawlani Rais mpya wa Syria yuko kwenye wanted list ya USA

Muhammad Al Jawlani Rais mpya wa Syria yuko kwenye wanted list ya USA

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Kiongozi wa waasi, Abu Mohammed al Jolani, ambaye kundi lake lilikuwa kitovu cha mashambulizi ya muda mfupi yaliyomaliza miongo ya udikteta nchini Syria mwishoni mwa wiki hii, ametumia miaka mingi akijaribu kujitenga na uhusiano wake wa zamani na al Qaeda.

Al Jolani ametajwa kama gaidi na Marekani nchi ambayo bado inatoa zawadi ya dola milioni 10 (£7.8m) kwa kichwa chake.

Kiongozi wa Hayat Tahrir al Sham (HTS) anasema ameacha misimamo yake ya zamani kama msimamo mkali wa kijihadi na sasa anakumbatia wa maoni mseto na uvumilivu wa tamaduni nyingine.

Jina halisi la al Jolani ni Ahmad al Sharaa - ndilo alilojulikana nalo kabla ya kujiunga na jihad, na sasa ameanza kulitumia tena, akilitaja alipokuwa akizungumza mjini Damascus Jumapili.

Sasa akiwa na umri wa miaka 42, al Jolani alizaliwa mwaka 1982 nchini Syria katika familia ya tabaka la kati iliyofukuzwa kutoka Uwanda wa Golan unaokaliwa na Israel.

Mitazamo yake ya kisiasa inasemekana kuundwa na Intifada ya Palestina ya mwaka 2000 na mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001.

Wakati Marekani ilipoivamia Iraq mwaka 2003, al Jolani alikuwa mmoja wa Wasyria wengi waliovuka hadi Iraq kupigana na vikosi vya Marekani, akianzisha uhusiano na al Qaeda huko.

Alikamatwa na jeshi la Marekani nchini Iraq na alifungwa katika gereza la Abu Ghraib ambalo lina sifa mbaya.

Mwanzoni mwa miaka ya 2000, kundi la msimamo mkali la Islamic State of Iraq - lililoongozwa na Abu Bakr al Baghdadi - lilikua kutoka mabaki ya al Qaeda.

Sasa itakuwaje?

Screenshot_20241209_160638_WhatsApp.jpg

 
View attachment 3173143
Sasa sijui itakuwaje
Hawana jinsi wao US mtu gaidi akiwa hakubaliani na agenda zao. Kwa sasa US atamtoa sababu kuna reason anayo labda kawambia waendelee kuchukua mafuta ya wizi wanayo iba. Afu wanajidai ma super power wakati wizi hahaha.

US na Israel wao ndio magaidi afu wanajidai wao sio magaidi. Hivi G.W.Bush angekuwa Rais wa Tanzania siangeisha fikishwa mahakama ya ICC.
 
Lakini kwa upande mwingine alitaka kupeleka ujumbe kwa Marekani ambayo ilikuwa imetenga zawadi ya Dola 10 milioni kwa yeyote atakayesaidia kupatikana kwa yeye Abu Jolani alipokuwa mpiganaji wa Al Qaeda. Ni dhahiri anataka Marekani na Israel imwondoe kwenye orodha ya magaidi wanaotafutwa, kwa vile yeye ni mtu mstaarabu atakayeiongoza Syria kuelekea kwenye ustaarabu.
 
Lakini kwa upande mwingine alitaka kupeleka ujumbe kwa Marekani ambayo ilikuwa imetenga zawadi ya Dola 10 milioni kwa yeyote atakayesaidia kupatikana kwa yeye Abu Jolani alipokuwa mpiganaji wa Al Qaeda. Ni dhahiri anataka Marekani na Israel imwondoe kwenye orodha ya magaidi wanaotafutwa, kwa vile yeye ni mtu mstaarabu atakayeiongoza Syria kuelekea kwenye ustaarabu.
Kuelekea kwenye ustaarabu kwa kukata mahausiano na Iran. Assad alikuwa wakala wa Iran kufikisha silaha kwa Hezbollah
 
Waarabu Intelligence ni Zero lakini Jazba ni 100%, Israel ni kinyume chake Jazba Zero Intelligence 100%

Waarabu wengi wanasema kuwa wameachana na njia ya Allah ndio maana wanapewa Mitihani.
 

Muhammad al-Jawlani:A man who the U.S. Gov't called "terrorist" and offered $10 Million bounty for his capture,is now the new Syrian leader and backs him.​


Hal Turner World December 09, 2024

Meet Syria's New (U.S. Backed) Leader: Muhammad al-Jawlani -  Who  U.S. Gov't called "Terrorist" and offered $10 Million Reward for!


Muhammad al-Jalwani is the new leader of Syria, after the Terrorist Group, HTS, short for Hay’at Tahrir al-Sham, overthrew the government of President Bashar al-Assad this past weekend. The new leader had a $10 Million Bounty on his head from the USA, for being a "Specially Designated International Terrorist." Now, the US embraces him as a leader of Syria.Yes,that is the level of evil of the US government.

Lets begin with a brief from the US Director of National Intelligence, Office of Counter-Terrorism:

Now let's go briefly to the US Embassy in Syria and a posting they made on Twitter:

And let's back all this up with a specially made video from the United States offering a $10 Million Reward for this guy:

THIS is our US Federal Government. They label a guy as a "Specially Designated International Terrorist", put a $10 Million Bounty on his head . . . . then install him as a Leader in a country whose government they wanted overthrown.

The Takeaway:
If you kill enough people, and smash enough things, you're no longer a "Terrorist" you're a "Leader."

Think about that. Think long and hard at that reality. Because THAT IS the reality with the US Government.
It's that simple. If a guy does what the US wants, he gets a pass on everything.

If a guy doesn't do what the US government wants, he gets called a "Terrorist" has a Bounty put on his head, or gets arrested for writing an Editorial they didn't like, and thrown in Prison for 33 months.

When you hear the US Government call someone a "Terrorist" allow yourself the luxury of a good laugh. They throw that smear at anyone and everyone who doesn't do what they want.You could be a terrorist today and tomorrow you are a hero.
 

Attachments

  • US-Wanted-Video-Muhammad-al-Jawlani.mp4
    4.5 MB

Muhammad al-Jawlani:A man who the U.S. Gov't called "terrorist" and offered $10 Million bounty for his capture,is now the new Syrian leader and backs him.​


Hal Turner World December 09, 2024
Meet Syria's New (U.S. Backed) Leader: Muhammad al-Jawlani -  Who  U.S. Gov't called "Terrorist" and offered $10 Million Reward for!'s New (U.S. Backed) Leader: Muhammad al-Jawlani -  Who  U.S. Gov't called "Terrorist" and offered $10 Million Reward for!


Muhammad al-Jalwani is the new leader of Syria, after the Terrorist Group, HTS, short for Hay’at Tahrir al-Sham, overthrew the government of President Bashar al-Assad this past weekend. The new leader had a $10 Million Bounty on his head from the USA, for being a "Specially Designated International Terrorist." Now, the US embraces him as a leader of Syria.Yes,that is the level of evil of the US government.

Lets begin with a brief from the US Director of National Intelligence, Office of Counter-Terrorism:

Now let's go briefly to the US Embassy in Syria and a posting they made on Twitter:

And let's back all this up with a specially made video from the United States offering a $10 Million Reward for this guy:



THIS is our US Federal Government. They label a guy as a "Specially Designated International Terrorist", put a $10 Million Bounty on his head . . . . then install him as a Leader in a country whose government they wanted overthrown.
The Takeaway:
If you kill enough people, and smash enough things, you're no longer a "Terrorist" you're a "Leader."
Think about that. Think long and hard at that reality. Because THAT IS the reality with the US Government.
It's that simple. If a guy does what the US wants, he gets a pass on everything.
If a guy doesn't do what the US government wants, he gets called a "Terrorist" has a Bounty put on his head, or gets arrested for writing an Editorial they didn't like, and thrown in Prison for 33 months.
When you hear the US Government call someone a "Terrorist" allow yourself the luxury of a good laugh. They throw that smear at anyone and everyone who doesn't do what they want.You could be a terrorist today and tomorrow you are a hero.
Kwenye hili andiko lako tunapsta picha kuwa America hawana adui wa kudumu, huyu kiongozi anataka kujenga ushawishi na nchi za magharibi na kuachana na Iran.
Kama hotuba yake imerushwa hewani CNN pekee hapo nadhani tunapata picha Kwa hili linaloendelea
 
Kwenye hili andiko lako tunapsta picha kuwa America hawana adui wa kudumu, huyu kiongozi anataka kujenga ushawishi na nchi za magharibi na kuachana na Iran.
Kama hotuba yake imerushwa hewani CNN pekee hapo nadhani tunapata picha Kwa hili linaloendelea
Ukweli ni kwamba Syria has been taken over by Israel.Hii ni katika harakati zao za kujenga what they call Greater Israel,
This is slowly coming to fruition.

Fuata link ifuatayo uone how Syria is being taken over by Israel in real time.

 
🇮🇷🇮🇷🚨🇺🇸🏴🇸🇾⚠️ | IMPORTANT:

Former IRGC Commander, Mohsen Rezaei:
There is an American camp in northern Syria where 11,000 ISIS members have been trained over the past four years; they are likely to attack Mosul or Tikrit in the coming months

🇮🇷 @NEWWORLDORDYR
 
Back
Top Bottom