Muhammad Al Jawlani Rais mpya wa Syria yuko kwenye wanted list ya USA

Muhammad Al Jawlani Rais mpya wa Syria yuko kwenye wanted list ya USA

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท๐Ÿšจ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿด๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡พโš ๏ธ | IMPORTANT:

Former IRGC Commander, Mohsen Rezaei:
There is an American camp in northern Syria where 11,000 ISIS members have been trained over the past four years; they are likely to attack Mosul or Tikrit in the coming months

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท @NEWWORLDORDYR
Baada ya FAFO, ikowapi True Promise?
 
๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท๐Ÿšจ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ๐Ÿด๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡พโš ๏ธ | IMPORTANT:

Former IRGC Commander, Mohsen Rezaei:
There is an American camp in northern Syria where 11,000 ISIS members have been trained over the past four years; they are likely to attack Mosul or Tikrit in the coming months

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท @NEWWORLDORDYR
I have always said that the US is the mother of terrorism.Sijui kama kuna mtu atapinga concept hii tena.It is out there in the open.
 
Waarabu Intelligence ni Zero lakini Jazba ni 100%, Israel ni kinyume chake Jazba Zero Intelligence 100%

Waarabu wengi wanasema kuwa wameachana na njia ya Allah ndio maana wanapewa Mitihani.
Israel Hana intelligence yoyote ile hata Tanzania ingekuwa inatengewa billion 10$ kila mwaka na misaada lukuki ya silaha na mataifa zaidi ya 30 lazima ungekuwa unaonekana unaakili?
 
Kiongozi wa waasi, Abu Mohammed al Jolani, ambaye kundi lake lilikuwa kitovu cha mashambulizi ya muda mfupi yaliyomaliza miongo ya udikteta nchini Syria mwishoni mwa wiki hii, ametumia miaka mingi akijaribu kujitenga na uhusiano wake wa zamani na al Qaeda.

Al Jolani ametajwa kama gaidi na Marekani nchi ambayo bado inatoa zawadi ya dola milioni 10 (ยฃ7.8m) kwa kichwa chake.

Kiongozi wa Hayat Tahrir al Sham (HTS) anasema ameacha misimamo yake ya zamani kama msimamo mkali wa kijihadi na sasa anakumbatia wa maoni mseto na uvumilivu wa tamaduni nyingine.

Jina halisi la al Jolani ni Ahmad al Sharaa - ndilo alilojulikana nalo kabla ya kujiunga na jihad, na sasa ameanza kulitumia tena, akilitaja alipokuwa akizungumza mjini Damascus Jumapili.

Sasa akiwa na umri wa miaka 42, al Jolani alizaliwa mwaka 1982 nchini Syria katika familia ya tabaka la kati iliyofukuzwa kutoka Uwanda wa Golan unaokaliwa na Israel.

Mitazamo yake ya kisiasa inasemekana kuundwa na Intifada ya Palestina ya mwaka 2000 na mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001.

Wakati Marekani ilipoivamia Iraq mwaka 2003, al Jolani alikuwa mmoja wa Wasyria wengi waliovuka hadi Iraq kupigana na vikosi vya Marekani, akianzisha uhusiano na al Qaeda huko.

Alikamatwa na jeshi la Marekani nchini Iraq na alifungwa katika gereza la Abu Ghraib ambalo lina sifa mbaya.

Mwanzoni mwa miaka ya 2000, kundi la msimamo mkali la Islamic State of Iraq - lililoongozwa na Abu Bakr al Baghdadi - lilikua kutoka mabaki ya al Qaeda.

Sasa itakuwaje?

Dah!Kwa hiyo aanze kuvaa helmet muda wote drone igonge mwamba?Mola amrehemu InshaAllah!๐Ÿ™
 
Ilikuwa ni kipindi hicho na sio sasa!
Ndio utajua kuwa hujui. Achana na siasa za Mashariki ya kati, Vinginevyo utaingia wazimu. Ndio maana Biden amesema ngoja tumuangalie matendo yake. Haya ni maelezo ya kutomuamini.
 
Israel Hana intelligence yoyote ile hata Tanzania ingekuwa inatengewa billion 10$ kila mwaka na misaada lukuki ya silaha na mataifa zaidi ya 30 lazima ungekuwa unaonekana unaakili?
Waisraeli wametapakaa Dunia nzima baada ya Exodus tofauti na Waarabu ambao baada ya Islamic Conquest kuisha wengi walirejea kwenye maeneo yao ya asili.
 
Waisraeli wametapakaa Dunia nzima baada ya Exodus tofauti na Waarabu ambao baada ya Islamic Conquest kuisha wengi walirejea kwenye maeneo yao ya asili.
Waarabu ndo wametapakaa Dunia nzima ndo maana ukienda Morocco mpaka misri na hiyo ni Africa tu wao waisrael wapo wapi?
 
Kiongozi wa waasi, Abu Mohammed al Jolani, ambaye kundi lake lilikuwa kitovu cha mashambulizi ya muda mfupi yaliyomaliza miongo ya udikteta nchini Syria mwishoni mwa wiki hii, ametumia miaka mingi akijaribu kujitenga na uhusiano wake wa zamani na al Qaeda.

Al Jolani ametajwa kama gaidi na Marekani nchi ambayo bado inatoa zawadi ya dola milioni 10 (ยฃ7.8m) kwa kichwa chake.

Kiongozi wa Hayat Tahrir al Sham (HTS) anasema ameacha misimamo yake ya zamani kama msimamo mkali wa kijihadi na sasa anakumbatia wa maoni mseto na uvumilivu wa tamaduni nyingine.

Jina halisi la al Jolani ni Ahmad al Sharaa - ndilo alilojulikana nalo kabla ya kujiunga na jihad, na sasa ameanza kulitumia tena, akilitaja alipokuwa akizungumza mjini Damascus Jumapili.

Sasa akiwa na umri wa miaka 42, al Jolani alizaliwa mwaka 1982 nchini Syria katika familia ya tabaka la kati iliyofukuzwa kutoka Uwanda wa Golan unaokaliwa na Israel.

Mitazamo yake ya kisiasa inasemekana kuundwa na Intifada ya Palestina ya mwaka 2000 na mashambulizi ya Septemba 11 mwaka 2001.

Wakati Marekani ilipoivamia Iraq mwaka 2003, al Jolani alikuwa mmoja wa Wasyria wengi waliovuka hadi Iraq kupigana na vikosi vya Marekani, akianzisha uhusiano na al Qaeda huko.

Alikamatwa na jeshi la Marekani nchini Iraq na alifungwa katika gereza la Abu Ghraib ambalo lina sifa mbaya.

Mwanzoni mwa miaka ya 2000, kundi la msimamo mkali la Islamic State of Iraq - lililoongozwa na Abu Bakr al Baghdadi - lilikua kutoka mabaki ya al Qaeda.

Sasa itakuwaje?

Yeye mwenyewe ameshaombwa kuondolewa kwenye hiyo list.
Amekiri ni kweli alikuwepo Al Qaeda lakini baadaye akatambue kuwa wafanyacho ni kinyume na alichotarajia na ndiyo maana akajitenga nao kwa kuwa yeye ni mtu mzuri.

Ameahidi wataona ukweli wa anayoyaongea kuitia utawala wake na namna atakavyoiongoza Syria.
 
Ukweli ni kwamba Syria has been taken over by Israel.Hii ni katika harakati zao za kujenga what they call Greater Israel,
This is slowly coming to fruition.

Fuata link ifuatayo uone how Syria is being taken over by Israel in real time.

Shukran
 
Back
Top Bottom