Aliyekuwa bingwa wa ndondi wa uzito wa juu duniani, Muhammad Ali, amelazwa tena hospitalini leo huko Marekani kwa matatizo ya maambukizi katika mfumo wa viungo vyake vya haja ndogo. Ali alitolewa hospitali hivi karibuni alikokuwa amelazwa kutokana na matatizo hayo hayo.
Source: CNN
Source: CNN