Muhammad Ali amazing boxer

Wengi wanampenda kwakuwa alikuwa anauwezo na alikuwa anaburudisha ila wewe unampenda na kumsifia kwa sababu aliitwa muhammad ali

Naam, wala hujakosea, wewe ulimpenda kwa kuwa alikuwa anaitwa nani?
 


Nimebandika hilo pambano juu hapo, tazama raundi ya tatu.
 
Kweli kabisa na jina lake la asili ambalo wazazi wake wanamtambua ni Cassius Marcellus clay Jr.

Hilo ni jina lake alipokuwa kizani, alipojaaliwa kuiona nuru, akaitwa Muhammad Ali na wazazi wake wote wanamtambua kwa hilo.

Sijui kinakuuma nini kijana kwa Muhammad Ali kusilim?

Mwenyewe anasema hakuna kitu bora katika maisha yake kama Uislam wake, sasa wewe unakereka nini?

Tazama huyu alikuwa kama wewe hataki kumuita Muhammad Ali, akampa kichapo huku anamuuliza "What is my name":

 
Kuna ubaya kwa kumpenda kwa sababu anaitwa Muhammad Ally Acha uvivu wa kufikiri

Tunampenda sana kwa hilo jina lake, unajuwa kuwa Muhammad Ali alikataa jina lake lisiwekwe barabarani katika "walk of fame"? Ambako ma star wakubwa wengi wana majina yao hapo? Jina lake pekee ndiyo lipo juu ukutani na halikanyagwi na mtu. Jionee:

Kwanini tusimpende kwa hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…