Mie simkubali Moha...yeye ni mtu ambaye anpenda ktumia half-truths and whole lies. Ndio, anajaribu pahali pengi, lakini yeye anapenda kuwasifu magaidi wa al-shabaab. Hutawahi kumsikia akiwaita al-shabaab "Magaidi." Bali utamsikia akiwaita wapiganaji. Hii ni dalili ya wale wote wanaoabudu al-shabba na umwagaji wa damu. Hata al-jazeera wana huo upuzi.
Jambo lingine pia ni kuwa wao hudanganyika upesi sana. Kuna wakati fulani walichezewa shere (nikidhani na majasusi wa Kenya,) na kudanganywa kuwa felicen Kabuga yupo Kenya. Walipeperusha picha za mwananchi wa Kenya kisha walipopatikana, hawakuomba msamaha. Huu ni unafiki wa hawa watangazaji.