Muhammed Ali wa Jicho Pevu: A true investigation reporter

Muhammed Ali wa Jicho Pevu: A true investigation reporter

Jamaa yuko vizuri sana, sikuwahi kumfahamu ila kuna mtu alitupia Video moja ya Viongozi wahongo wa Kiroho ilikuwa balaa
 
Ile ilikuwa ni hatari, nafananisha na ya kwetu hapa kidogo.

What a talented guy
Ukiangalia makala zake kama zile za kifo cha George Saitoti na hata ile ya westgate. Utampenda. Hes detailed sana

Niliipenda makala yake ya 'Paruwanja la mihadarati'

Namkubali sana huyu mwandishi, bado sijaona wa kumfananisha nae Mungu amlinde. Ni tunu ya waKenya
Huyu jamaa ni kiboko nilimwangalia ile makala yake ya alipoingia kwa maharamia wa somalia kuhusu kupata support toka Kenya na Dubai, na ya yule mchungaji aliekuwa analisha wauumini maneno ili avutie watu akirusha kwenye TV
 
Dah jamaa yuko vizuri sana asee. Mi nilimfahamu kwenye ile makala yake ya John Kibera: Mwizi wa Majeneza
 
This dude ako far I love his Work BT they are trying to silence him....They tortured his wife & kid so sad!
 
Mie simkubali Moha...yeye ni mtu ambaye anpenda ktumia half-truths and whole lies. Ndio, anajaribu pahali pengi, lakini yeye anapenda kuwasifu magaidi wa al-shabaab. Hutawahi kumsikia akiwaita al-shabaab "Magaidi." Bali utamsikia akiwaita wapiganaji. Hii ni dalili ya wale wote wanaoabudu al-shabba na umwagaji wa damu. Hata al-jazeera wana huo upuzi.

Jambo lingine pia ni kuwa wao hudanganyika upesi sana. Kuna wakati fulani walichezewa shere (nikidhani na majasusi wa Kenya,) na kudanganywa kuwa felicen Kabuga yupo Kenya. Walipeperusha picha za mwananchi wa Kenya kisha walipopatikana, hawakuomba msamaha. Huu ni unafiki wa hawa watangazaji.

Katika ubora wako na wewe leo asubuhi!
 
Back
Top Bottom