Chuo cha Muhimbili ndicho kimekua cha mwisho kutoa selection ,wametoa ijumaa iliyopita,tar20/9/13, wanasema reporting tarehe 07/10/2013, barua za admission hazijatoka, hivi wanafikiri watu wote wanaishi DSM?, watu wa mikoani watapata barua lini ili wasafiri hadi DSM, mbaya zaidi wanasema lazima ulipe tuition fee na direct cost ndo uruhusiwe kuingia chuoni, hawajui kwa mtanzania wa kawaida kupata 1.8 milion in such a short time ni ngumu, this is not fair at all
Mnaongea kwa mazoea tu, nendeni kwenye website yao msome maelezo yaliyo kwenye tangazo lao la watu waliochaguliwa,
thanx 4 da tipKijana nenda kasome wala usipanic, vitu ambavyo ni lazima wakati wa registration Muhas ni hivi hapa;
1.Medical capitation fee(kama una bima ya afya hulipi)
2.Identity card fee
3.MUHASO fee
4.Registration fee
5.Examination fee
Hayo mambo ya tuition fee ni just a formality ina apply kwa private candidates only, fee yako itatoka MOeVT directly kuja chuoni wala hutaishika mkononi. Accomodation watakudai baada ya boom kutoka.
Nenda na pesa yako ya kujikimu kwa chakula na mahitaji mengine wakati unasubiria boom pamoja na hayo matano hapo juu utatuwa on the safe side. Kila la heri daktari mtarajiwa.
thanx 4 da tip