Muhimbili: Mgonjwa Aliyeacha Deni na Kupata Bima Hatotibiwa kwa Bima, Bali kwa Malipo ya Fedha Taslimu

Muhimbili: Mgonjwa Aliyeacha Deni na Kupata Bima Hatotibiwa kwa Bima, Bali kwa Malipo ya Fedha Taslimu

Mohamed Abubakar

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2014
Posts
984
Reaction score
1,179
Wakuu ni case study. Kwa wale ambao wanadhani jambo muhimu ni kwa chama cha Mapinduzi kiendelee kushika madaraka. Au chama fulani kishinde na kuwaondoa ccm madarakani. Munazingitia hays yaliyo kwenye ground?

Katika ufatiliaji wangu, kwa kipindi cha miaka 3. Ni Magufuli pekee ndie aliyeweka rekodi ya kutembelea Muhimbili na kutaka kujionea mwenyewe hali halisi na kuonyesha njia nini kifanyike.

Magufuli pamoja na udhaifu wake, alikuwa ni mtu na mnyenyekevu kwa wanyonge.

Samia hana muda na wagonjwa. Focus yake iko kwa washabiki wa mpira. Bahati mbaya hata wa upinzani hawana muda kujua iwapo mambo ni mazuri Muhimbili.

Fikireni sasa wagonjwa wenye magonjwa makubwa kama kansa, figo nk. Ukweli magonjwa haya tusiombee yatupate sisi jamii masikini. Hatuna haki kwa serikali ya CCM.

Kwa mfano kuna mgonjwa jirani yangu ana kansa. Alitibiwa awamu ya kwanza kwa misaada ya ndugu na majirani miezi 6 iliyopita. Akapewa muda na arudi Nov 19. Ktk kipindi hiki kauza vitu vyake ili apate bima ya afya.
Jana alipokwenda Muhimbili kaambiwa hatotibiwa kwa Bima kwa sababu aliacha deni ktk matibabu yake ya awali.

Unaweza jiuliza kwani kupitia bima wanatibiwa bure?

Kilichopo na kwa lugha nyepesi ni kuwa serikali imevamiwa na wahalifu sawa na wahalifu wenye silaha huku mitaani ambao unaweza kukutana na vichochoni wakakuuwa. Sera ya kuzuia mgonjwa aliye na bima usipate tiba Muhimbili hadi alipe cash si kitendo cha utu. Si utu anaojipamba nao mama Samia, ni ukatili na uuwaji.

Uongozi ni dhima. Na dhima inamaa kiongozi anakwenda kuulizwa na muumba wake kwanini aliona kulipia tiketi washabiki wa mpira ni muhimu kuliko kuwalipa wagonjwa wenye magonjwa dume wanaohitaji pesa ndogo ukilinganisha na pesa ya kuwafungulia mashabiki wa mpira.

Hii ni dhima kubwa kwa mtu alijipambanua ni muumini na mchamungu.

Mwisho niombe kwa kila mwenye nafasi aongee na mgonjwa. Atakaeweza kwenda kumuona yuko mbagala. Ni mgeni kutoka mkoani. Tumsaidie apate tiba. Namba yake ni 0654031259.

Tusiitegemee hii serikali wala mama Samia.

Na hakuna haja ya kumpigia kura.

Natamani watz wasuse kujitokeza kupiga kura kwa wagombea ambao hatukuwapendekeza sisi wanajamii. Tukaletewa tu na chama.

Hii nchi sijaona mwanasiasa kama mzee Magufuli.

Nchi ina laana inayotokana na kuongozwa na imani ya Ujamaa. Na wafuasi wa imani hii ndio hasa MAKAFIRI MAKAFIRI MAKAFIRI

Nimeumizwa, nina maumivu makubwa.

Mnisahe kwa niliowaumiza
 
Akishalipa deni watamtibu kwa Bima; anachofanya huyo Mgonjwa ni I Tapeli!
Ndugu vp analazimika kulipa kwa cash wakati wakitumia bima. Muhimbili watapata pesa yao ileile na wakati huo huo wanasogeza mbele uhai wa mgonjwa.

Vp mgonjwa wamdai. Mgonjwa ambae kwa kipindi chate ni mtegemezi.

Ktk nchi nyingine mamlaka ya serikali za mitaa huko wanaita majimbo huku tunahita halmashauri hutunga fungu kwa wenye magonjwa dume kama haya. Kwa kuwa wao ndio kukusanya ushuru kila siku kutoka kwa watu wa hali ya chini. Serikali ya ccm inaamini ktk kufika pesa ktk kujimbiza Mungu wao (mwenge) na kugawa condom ktk uwanja ambao Mungu wao watawala hapo
 
Ndugu vp analazimika kulipa kwa cash wakati wakitumia bima. Muhimbili watapata pesa yao ileile na wakati huo huo wanasogeza mbele uhai wa mgonjwa.

Vp mgonjwa wamdai. Mgonjwa ambae kwa kipindi chate ni mtegemezi.

Ktk nchi nyingine mamlaka ya serikali za mitaa huko wanaita majimbo huku tunahita halmashauri hutunga fungu kwa wenye magonjwa dume kama haya. Kwa kuwa wao ndio kukusanya ushuru kila siku kutoka kwa watu wa hali ya chini. Serikali ya ccm inaamini ktk kufika pesa ktk kujimbiza Mungu wao (mwenge) na kugawa condom ktk uwanja ambao Mungu wao watawala hapo

Haujielewi, nenda kajifunze mifumo ya uhasibu na inabyofanyika, sio kama malipo ya Vikoba mtaani!

Hakuna dhuluma kafanyiwq, yeye ndo mdanganyifu, kuwa mwelewa basi, na kama huelewi uliza:

1. Mwanzo alijaza form kama cash au kwa Bima wakati anatibiwa?

2. Wenye mifumo na wanaokagua ambao hawapo hapo wanaamini vipi?

Msijidai wajuaji wakati hamjui kitu, Hilo Mzee ulimwenguni kote haliwezekani! Mifumo na reporting zitakataana!
 
Bima gani watakubali kulipa deni la nyuma?

Yani ww una gari, haujaikatia bima, ghafla unapata ajali. Baada ya ajali ndo unaenda kukatia bima ili wakufidie hiyo ajali yako!

Kuna bima ya namna hii duniani kote?
 
Huu uzi ni uhasibu versus udaktari with regard to ethical responsibilities na mapokeo ya jamii. Hapa pagumu sana japo ningebakia kwenye ukweli kwamba as long ile ni hospital ya serikali badi mgonjwa angehudumiwa na bima na deni lake libaki palepale. Sioni tatizo hapo haswa hospital yenyewe ya umma ina donors kibao
 
Screenshot_20241116-162407_1.jpg
 
Huu uzi ni uhasibu versus udaktari with regard to ethical responsibilities na mapokeo ya jamii. Hapa pagumu sana japo ningebakia kwenye ukweli kwamba as long ile ni hospital ya serikali badi mgonjwa angehudumiwa na bima na deni lake libaki palepale. Sioni tatizo hapo haswa hospital yenyewe ya umma ina donors kibao
System lazima igome, huwezi badili category wakati una deni.
 
H
Huu uzi ni uhasibu versus udaktari with regard to ethical responsibilities na mapokeo ya jamii. Hapa pagumu sana japo ningebakia kwenye ukweli kwamba as long ile ni hospital ya serikali badi mgonjwa angehudumiwa na bima na deni lake libaki palepale. Sioni tatizo hapo haswa hospital yenyewe ya umma ina donors kibao

Ni maamuzi ya Nani?
 
Bima gani watakubali kulipa deni la nyuma?

Yani ww una gari, haujaikatia bima, ghafla unapata ajali. Baada ya ajali ndo unaenda kukatia bima ili wakufidie hiyo ajali yako!

Kuna bima ya namna hii duniani kote?
Nani kasema bima itumike kulipa deni la nyuma.

Hoja ya msingi ni utu. Deni liendelee kuwa deni hadi pale atakapo pona alilipe.

Na bima itumike kwasasa ili aendelee na tiba.

Inahitaji degree kujua hili
 
Haujielewi, nenda kajifunze mifumo ya uhasibu na inabyofanyika, sio kama malipo ya Vikoba mtaani!

Hakuna dhuluma kafanyiwq, yeye ndo mdanganyifu, kuwa mwelewa basi, na kama huelewi uliza:

1. Mwanzo alijaza form kama cash au kwa Bima wakati anatibiwa?

2. Wenye mifumo na wanaokagua ambao hawapo hapo wanaamini vipi?

Msijidai wajuaji wakati hamjui kitu, Hilo Mzee ulimwenguni kote haliwezekani! Mifumo na reporting zitakataana!
Elewa ndugu hoja.

Mgonjwa alianza kutibiwa mwanzoni kwa cash.

Sasa amekata bima.

Mgonjwa aliruhusiwa na kutoka hospitali kwa kufata taratibu. Utaratibu ni kuwa mgonjwa akishapona na kuanza shughuli za uzalishaji. Aje kulipa deni taratibu.

Tokea apate tiba. "Kumbuka ana kansa" hajapata nafuu.

Na kwamba utu na haki yq kwanza ya serikali hai ni kulinda uhai wa watu wake.

Hoja iliopo ni kuwa haiwezekani mgonjwa ambae yuko tayari kuchangia gharama kwa kutumia bima asitibiwe kwa bima. Bali asitibiwe kwa cash.

Haiingii akilini kwa jamii yenye yenye serikali inayolinda raia wake.

Mgonjwa amecmply na wito wa serikali kila raia kuwa na bima.

Anyway. CCM waweke basi ktk ilani yako hoja uliyoileta.

Kuwa mgonjwa lazima acomply na mfumo wa uhasobu ili aweze kupata tiba.

Our Poors and heartless CCM supporters
 
Elewa ndugu hoja.

Mgonjwa alianza kutibiwa mwanzoni kwa cash.

Sasa amekata bima.

Mgonjwa aliruhusiwa na kutoka hospitali kwa kufata taratibu. Utaratibu ni kuwa mgonjwa akishapona na kuanza shughuli za uzalishaji. Aje kulipa deni taratibu.

Tokea apate tiba. "Kumbuka ana kansa" hajapata nafuu.

Na kwamba utu na haki yq kwanza ya serikali hai ni kulinda uhai wa watu wake.

Hoja iliopo ni kuwa haiwezekani mgonjwa ambae yuko tayari kuchangia gharama kwa kutumia bima asitibiwe kwa bima. Bali asitibiwe kwa cash.

Haiingii akilini kwa jamii yenye yenye serikali inayolinda raia wake.

Mgonjwa amecmply na wito wa serikali kila raia kuwa na bima.

Anyway. CCM waweke basi ktk ilani yako hoja uliyoileta.

Kuwa mgonjwa lazima acomply na mfumo wa uhasobu ili aweze kupata tiba

Hayo unayotaka yanafanyika Kanisan ndugu! This world is Brutal Mdogo wangu, na haswa kwa wanaume, ukijua hayo ujue upo vitani, Pambana!
 
Back
Top Bottom