MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES Best University in Tanzania, 1610th Worlwide


hili lakuajiriwani kweli utakuta kila ikikaribia wanafunzi kumaliza makampuni yanaliikwa kuja kufanya interview. maprof wa wenzetu hawajisikii vzr wanafunzi wao wanapofeli wakati sisi ni sifa
 

siku hizi mmed wanaogopa hata kufundisha wanafunzi wodini kwani wako shallow kuliko undergraduate wenyewe. Duh muhas imepoteza sana kizazi cha watz wenye akili nzuri enzi hizo kwa kuwajazia makalai ya kutosha. Siku hizi kusoma medicine ni hela tu, hukuti mtoto wa maskini kule
 
hongera na machifu waliotujazia makalai mpaka tunaona uvivu kwenda kusoma mmed!

Ni kitu cha ajabu sana hawa machifu wanakupa makarai halafu wanashangaa watu hawaendi kusoma mmed.... Wanakufa wakiongoza vitengo huku wakiongeza mkataba kila siku na hawataki to train juniors kuwa wao siku wasipokuwepo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…