baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,480
- 2,239
Sanaa tu kulainisha na kuvunja vunja vimaweMalimao yanasaidia pia au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaa tu kulainisha na kuvunja vunja vimaweMalimao yanasaidia pia au?
Mie nimepoteza mdg wangu kwa kushindwa kwenda na mahitaji ya gharama,ni miezi mitatu tu imepita toka afarikiCHANGAMOTO TUNAZO PITIA WAGONJWA WA FIGO MUHIMBILI.
Ndugu Mheshimiwa waziri zifuatazo ni changamoto tunazo pitia Kama wagonjwa wa figo.
1. Gharama za kuchuja damu (dialysis) ziko juu sana kwa watu wanaolipa cash hata kufikia kupotezea wenzetu wengi walio shindwa kulipia hivyo tunaomba mtupuguzie ikiwezekana mtutafutie donors ili tuweze kufanya bure Kama vile wa athirika wa madawa wanavyo lipiwa.
2. Kume kuwa na gharama kuongezeka Mara kwa Mara kwenye sindano ya EPO kuongeza damu mwanzo ilikuwa 4000 ila kwa Sasa iko juu 16,000 kwa sindano moja tunaomba ishuke.
3.Swala la kupata msamaha ustawi wa jamii kwa Sasa limekuwa halipo kabisa kinyume na muongozo wa msamaha wa ustawi wa jamii kwani wengi kwa Sasa hatuna uwezo wa kulipia na familia zimesha tu choka kutusaidia na tunashi kwa kusaidiwa na rafiki nao wamesha tuchoka.
4. Huduma tunazo pewa na ma nesi nazo ni changamoto lugha zao sio nzuri kwa wagonjwa ....
5. Swala la parking lime kuwa changamoto tuna lazimishwa kulipia wakati pesa tu ya matibabu kuipata inakuwa shida tunaomba magari yote ya wagonjwa yaingie free na kutoka bila kulipia kwa kuwahatuna uwezo. Wagonjwa wa Figo wanaenda Muhimbili saa tatu Usiku na kutoka saa moja asubuhi. Halafu Maegesho unalipishwa 1,000 kila saa tena usiku. Masaa nane ya kukaaa Muhimbili unalipia Maegesho 8000 hadi 10,000 saa nyingine. Tunaomba Wagonjwa wasilipishwe maegesho.
6.Mheshimiwa waziri tunaomba kama msamaha unatolewa kiwango Cha cash kiwe kimoja siyo wengine wanalipa elfu 30, wengine laki na themanini wengine elfu sabuni inatutengenezea mazingira ya kuhisi wanapokea rushwa maana wengine wananyinwa msamaha
Muhimbili Mbu ni wengi, kwanini wasipulizie dawa? Tunakesha na mbu kuanzia saa mbili usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi.
UbarikiweSanaa tu kulainisha na kuvunja vunja vimawe
Pole sanaa ndugu ,kwa kweli tujifunze kutunza figo zetu wanandugu kwa kupunguza visababishi vya kimaisha na kimazingira vibaki tu vya kurithiMie nimepoteza mdg wangu kwa kushindwa kwenda na mahitaji ya gharama,ni miezi mitatu tu imepita toka afariki
Ni kweli apple + tango + limao juice yake ni nzuri kwa mawe na kupunguza kiasi kikubwa cha cholesterol mwilini na uzito piaNa matunda ya apple pia yanasaidia
Kabisa mkuu, ukiniambia figo nasisimkaPole sanaa ndugu ,kwa kweli tujifunze kutunza figo zetu wanandugu kwa kupunguza visababishi vya kimaisha na kimazingira vibaki tu vya kurithi
Figo nizakutuzwa sanaaa ,nilipopata mawe kwenye figo maumivu yake sio ya kitoto nilikuwa siwezi lala bila sindano ya kuzuia maumivu ni hatari mnoo na mda mwingine unakojoa mpaka damuKabisa mkuu, ukiniambia figo nasisimka
Dah,we acha tu,mby zaidi matibabu yako juuFigo nizakutuzwa sanaaa ,nilipopata mawe kwenye figo maumivu yake sio ya kitoto nilikuwa siwezi lala bila sindano ya kuzuia maumivu ni hatari mnoo na mda mwingine unakojoa mpaka damu
Pole sana chief, gharama zimekuwa juu sana na bila bima mtu hutoboi hakyanani!Mie nimepoteza mdg wangu kwa kushindwa kwenda na mahitaji ya gharama,ni miezi mitatu tu imepita toka afariki
Punguza pia matumizi ya sukari na vyakula vya wangaDuhhhh....🤔
Naacha pombe..😑
Ccm mbere kwa mbereCHANGAMOTO TUNAZO PITIA WAGONJWA WA FIGO MUHIMBILI.
Ndugu Mheshimiwa waziri zifuatazo ni changamoto tunazo pitia Kama wagonjwa wa figo.
1. Gharama za kuchuja damu (dialysis) ziko juu sana kwa watu wanaolipa cash hata kufikia kupotezea wenzetu wengi walio shindwa kulipia hivyo tunaomba mtupuguzie ikiwezekana mtutafutie donors ili tuweze kufanya bure Kama vile wa athirika wa madawa wanavyo lipiwa.
2. Kume kuwa na gharama kuongezeka Mara kwa Mara kwenye sindano ya EPO kuongeza damu mwanzo ilikuwa 4000 ila kwa Sasa iko juu 16,000 kwa sindano moja tunaomba ishuke.
3.Swala la kupata msamaha ustawi wa jamii kwa Sasa limekuwa halipo kabisa kinyume na muongozo wa msamaha wa ustawi wa jamii kwani wengi kwa Sasa hatuna uwezo wa kulipia na familia zimesha tu choka kutusaidia na tunashi kwa kusaidiwa na rafiki nao wamesha tuchoka.
4. Huduma tunazo pewa na ma nesi nazo ni changamoto lugha zao sio nzuri kwa wagonjwa ....
5. Swala la parking lime kuwa changamoto tuna lazimishwa kulipia wakati pesa tu ya matibabu kuipata inakuwa shida tunaomba magari yote ya wagonjwa yaingie free na kutoka bila kulipia kwa kuwahatuna uwezo. Wagonjwa wa Figo wanaenda Muhimbili saa tatu Usiku na kutoka saa moja asubuhi. Halafu Maegesho unalipishwa 1,000 kila saa tena usiku. Masaa nane ya kukaaa Muhimbili unalipia Maegesho 8000 hadi 10,000 saa nyingine. Tunaomba Wagonjwa wasilipishwe maegesho.
6.Mheshimiwa waziri tunaomba kama msamaha unatolewa kiwango Cha cash kiwe kimoja siyo wengine wanalipa elfu 30, wengine laki na themanini wengine elfu sabuni inatutengenezea mazingira ya kuhisi wanapokea rushwa maana wengine wananyinwa msamaha
Muhimbili Mbu ni wengi, kwanini wasipulizie dawa? Tunakesha na mbu kuanzia saa mbili usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi.
Yaani Mabeberu mnaotukana kila siku mnataka na Figo tena wawasaidie??? Si mnasema ni mashoga?Kama serikali kupitia wahisani wake inatoa ahueni kwa vidonge vya ARV na waathirika, kwa nini isifanye the same kwa wagonjwa wa figo ???
Kama vipi na hizo arv waache kutoa, hizo chanjo za bure waache kutoa. Akili itatukaa sawa...Yaani Mabeberu mnaotukana kila siku mnataka na Figo tena wawasaidie??? Si mnasema ni mashoga?
Tutakwisha Mkuu hawa watawala wanajifanya akina Mandonga miradi yoote ya Malaria, afya ya mama na mtoto, Ukimwi na Kutahiri wanaume inafadhiliwa na Wazungu.Kama vipi na hizo arv waache kutoa, hizo chanjo za bure waache kutoa. Akili itatukaa sawa...
Pombe sio hatari pekee ya figo zako kuna mengi zaidi ya figo.Duhhhh....[emoji848]
Naacha pombe..[emoji58]
Figo ni kiungo sasa unawekaje kinga ya kiungo? [emoji848]Kinga ya figo ni nini?
Miongoni mwa watu 8 naowajua wanatatizo la Figo, watano hawakuwahi kutumia pombe kbsa.Duhhhh....🤔
Naacha pombe..😑
Apple cider vinegar unaweka kijiko kimoja kwenye glass ya maji ya vuguvugu, unakunywa asubuhi na jioni. Unaweza search YouTube kidney stones - DK Berg.Figo nizakutuzwa sanaaa ,nilipopata mawe kwenye figo maumivu yake sio ya kitoto nilikuwa siwezi lala bila sindano ya kuzuia maumivu ni hatari mnoo na mda mwingine unakojoa mpaka damu