KERO Muhimbili: Wagonjwa wa figo waelezea Matatizo wanayokumbana nayo. Waomba Waziri Ummy awasaidie

KERO Muhimbili: Wagonjwa wa figo waelezea Matatizo wanayokumbana nayo. Waomba Waziri Ummy awasaidie

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
CHANGAMOTO TUNAZO PITIA WAGONJWA WA FIGO MUHIMBILI.

Ndugu Mheshimiwa waziri zifuatazo ni changamoto tunazo pitia Kama wagonjwa wa figo.

1. Gharama za kuchuja damu (dialysis) ziko juu sana kwa watu wanaolipa cash hata kufikia kupotezea wenzetu wengi walio shindwa kulipia hivyo tunaomba mtupuguzie ikiwezekana mtutafutie donors ili tuweze kufanya bure Kama vile wa athirika wa madawa wanavyo lipiwa.

2. Kume kuwa na gharama kuongezeka Mara kwa Mara kwenye sindano ya EPO kuongeza damu mwanzo ilikuwa 4000 ila kwa Sasa iko juu 16,000 kwa sindano moja tunaomba ishuke.

3.Swala la kupata msamaha ustawi wa jamii kwa Sasa limekuwa halipo kabisa kinyume na muongozo wa msamaha wa ustawi wa jamii kwani wengi kwa Sasa hatuna uwezo wa kulipia na familia zimesha tu choka kutusaidia na tunashi kwa kusaidiwa na rafiki nao wamesha tuchoka.

4. Huduma tunazo pewa na ma nesi nazo ni changamoto lugha zao sio nzuri kwa wagonjwa ....

5. Swala la parking lime kuwa changamoto tuna lazimishwa kulipia wakati pesa tu ya matibabu kuipata inakuwa shida tunaomba magari yote ya wagonjwa yaingie free na kutoka bila kulipia kwa kuwahatuna uwezo. Wagonjwa wa Figo wanaenda Muhimbili saa tatu Usiku na kutoka saa moja asubuhi. Halafu Maegesho unalipishwa 1,000 kila saa tena usiku. Masaa nane ya kukaaa Muhimbili unalipia Maegesho 8000 hadi 10,000 saa nyingine. Tunaomba Wagonjwa wasilipishwe maegesho.

6.Mheshimiwa waziri tunaomba kama msamaha unatolewa kiwango Cha cash kiwe kimoja siyo wengine wanalipa elfu 30, wengine laki na themanini wengine elfu sabuni inatutengenezea mazingira ya kuhisi wanapokea rushwa maana wengine wananyinwa msamaha

Muhimbili Mbu ni wengi, kwanini wasipulizie dawa? Tunakesha na mbu kuanzia saa mbili usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi.
Mie nimepoteza mdg wangu kwa kushindwa kwenda na mahitaji ya gharama,ni miezi mitatu tu imepita toka afariki
 
Figo nizakutuzwa sanaaa ,nilipopata mawe kwenye figo maumivu yake sio ya kitoto nilikuwa siwezi lala bila sindano ya kuzuia maumivu ni hatari mnoo na mda mwingine unakojoa mpaka damu
Dah,we acha tu,mby zaidi matibabu yako juu
 
CHANGAMOTO TUNAZO PITIA WAGONJWA WA FIGO MUHIMBILI.

Ndugu Mheshimiwa waziri zifuatazo ni changamoto tunazo pitia Kama wagonjwa wa figo.

1. Gharama za kuchuja damu (dialysis) ziko juu sana kwa watu wanaolipa cash hata kufikia kupotezea wenzetu wengi walio shindwa kulipia hivyo tunaomba mtupuguzie ikiwezekana mtutafutie donors ili tuweze kufanya bure Kama vile wa athirika wa madawa wanavyo lipiwa.

2. Kume kuwa na gharama kuongezeka Mara kwa Mara kwenye sindano ya EPO kuongeza damu mwanzo ilikuwa 4000 ila kwa Sasa iko juu 16,000 kwa sindano moja tunaomba ishuke.

3.Swala la kupata msamaha ustawi wa jamii kwa Sasa limekuwa halipo kabisa kinyume na muongozo wa msamaha wa ustawi wa jamii kwani wengi kwa Sasa hatuna uwezo wa kulipia na familia zimesha tu choka kutusaidia na tunashi kwa kusaidiwa na rafiki nao wamesha tuchoka.

4. Huduma tunazo pewa na ma nesi nazo ni changamoto lugha zao sio nzuri kwa wagonjwa ....

5. Swala la parking lime kuwa changamoto tuna lazimishwa kulipia wakati pesa tu ya matibabu kuipata inakuwa shida tunaomba magari yote ya wagonjwa yaingie free na kutoka bila kulipia kwa kuwahatuna uwezo. Wagonjwa wa Figo wanaenda Muhimbili saa tatu Usiku na kutoka saa moja asubuhi. Halafu Maegesho unalipishwa 1,000 kila saa tena usiku. Masaa nane ya kukaaa Muhimbili unalipia Maegesho 8000 hadi 10,000 saa nyingine. Tunaomba Wagonjwa wasilipishwe maegesho.

6.Mheshimiwa waziri tunaomba kama msamaha unatolewa kiwango Cha cash kiwe kimoja siyo wengine wanalipa elfu 30, wengine laki na themanini wengine elfu sabuni inatutengenezea mazingira ya kuhisi wanapokea rushwa maana wengine wananyinwa msamaha

Muhimbili Mbu ni wengi, kwanini wasipulizie dawa? Tunakesha na mbu kuanzia saa mbili usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi.
Ccm mbere kwa mbere
 
Kama serikali kupitia wahisani wake inatoa ahueni kwa vidonge vya ARV na waathirika, kwa nini isifanye the same kwa wagonjwa wa figo ???
Yaani Mabeberu mnaotukana kila siku mnataka na Figo tena wawasaidie??? Si mnasema ni mashoga?
 
Yaani Mabeberu mnaotukana kila siku mnataka na Figo tena wawasaidie??? Si mnasema ni mashoga?
Kama vipi na hizo arv waache kutoa, hizo chanjo za bure waache kutoa. Akili itatukaa sawa...
 
Kama vipi na hizo arv waache kutoa, hizo chanjo za bure waache kutoa. Akili itatukaa sawa...
Tutakwisha Mkuu hawa watawala wanajifanya akina Mandonga miradi yoote ya Malaria, afya ya mama na mtoto, Ukimwi na Kutahiri wanaume inafadhiliwa na Wazungu.

Huko kwenye majeshi karibu yoote ya africa bajeti zake ni misaada ya wazungu hadi mafunzo.

Wakija kwetu wanajifanya kuwatukana eti Mabeberu ila wakiwa kwenye closed Doors wanawapa hadi madini kama kule Gabon na Ivory Coast
 
Figo nizakutuzwa sanaaa ,nilipopata mawe kwenye figo maumivu yake sio ya kitoto nilikuwa siwezi lala bila sindano ya kuzuia maumivu ni hatari mnoo na mda mwingine unakojoa mpaka damu
Apple cider vinegar unaweka kijiko kimoja kwenye glass ya maji ya vuguvugu, unakunywa asubuhi na jioni. Unaweza search YouTube kidney stones - DK Berg.
 
Back
Top Bottom