MUHIMU:Ambao hamjaona/mliokwiaha ona selection.zenu TCU

Kaka thanx kwa ushaur kdogo ka hasira kamepungua nilitaka nianze kuwatukana tcu kwanini watoe post kumbe zilileak bwana
 
Jamani nkilog in tcu kwa chip ya airtel inaniambia cjafanya application.msaada ushauri
 
Tulia wewe,kama ulifanya application basi haina shida, nadhani server itakuwa imekaa vibaya.
 
Thanx kaka kwa ushauri
 

nataka nikupe like lakin nashindwa coz natumia cmu so option ya like siion! By the way ushaur wako unanifaa sana hasa kwa mm wa ARDHI UNIVERSITY pale jins nilivyokaribu na MLIMAN CITY! Mungu nisaidie niweze kuji contlor kipindi chote cha masomo yangu(i mean 4 year) nipate kumaliza salama na kwa ufaulu mzuri! Aminaaaa
 
Jamani nkilog in tcu kwa chip ya airtel inaniambia cjafanya application.msaada ushauri

nenda cafe au kama una laptop ifungue TCU kwa kutumia browser kama chrome, mozilla au IE. Au kama ulikuwa hujawahi icheki akaunti yako tokea u apply mara ya kwanza hayo ni mapya tena
 
jaman mm username yangu ni email adrec lakn kwenye ku login naambiwa nimepewa mfano wa namb yangu ya mthan na mwaka nlomalza form 4
 
Sielewi elewi ati! Ngoja ntakuwa wa mwisho kujua wapi nimepelekwa.
 
leo naungana na Roma 'KIBONDE NI WEWE MEMBER WA LOAN BOARD NA TCU'
 
Naomba mnisaidie kucheki selection yangu kwa kutumia cm,tafadhalini
 
Kwa nin tcu kama wamemaliza kaz yao wasitoe majina?yaan kila siku mim nawaza tcu tuuuuu!jaman nitakufa!ndugu zangu wote wananiambia tangu nifanye mchakato wa kuomba chuo,nimepungua zaid ya asilimia hamsin,sasa kama wataendelea na hiyo hali,kuna atali sana katika afya yangu,mungu atusaidie!:wave:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…