Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azarel,Haya umeshayaandika sana, nimeshasoma kitabu chako mwaka 2013 na nilinunua kwa pesa yangu kutoka msikitini nikiwa DSM na nilishakuambia hilo hapahapa...labda wewe huna kumbukumbu
Ninaposema wewe ni mdini Nina uhakika na hilo kutokana na baadhi ya kurasa katika baadhi ya vitabu vyako...ningekuwa nipo karibu navyo ningeviscreeshort nikuoneshe na uongo wako pia.
Pia nimeshasikia mjadala wako ukihojiwa na Azam TV kuna mengi ya uongo uliyoyasema na kusema kuwa ulifanya utafiti.
Uongo ni dhambi na huu mwezi mtukufu kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Laki...Hiki kitabu cha Nyerere sina hakika kama utakipenda, sababu hakijawatukuza Abdul Sykes na Hassan Ameir, hakijamtaja Abdul Sykes vile wewe unataka.
Umegonga kwenye msumari.Azarel,
Tabia ya mtu inaendana na malezi aliyopewa na wazazi wake.
Huenda kweli hujui vibaya.
Dawa ya hili ni watu kukuweka kitako wakakufunza yale usiyoyajua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Laki...Mohamed Said, kwa nini wapendwa wako wote waliokuwa TANU waligombana na Nyerere? Ally Sykes, Abdul Sykes, Chief Kidaha, Dr. Mwanjisi, Hasan Ameir, Titi Mohamed, kwa hiyo kwako wewe sifa kubwa ya kuwa mzalendo ni kugombana na Nyerere?
Nani? Shivji et al?
JK,Mohamed Said,
..are there any "bomb shells" in the biography.
..mimi huwa sipendi vitabu ambavyo havina mambo ambayo hatukuyajua na hatukutegemea yalitokea.
..unadhani waandishi walikuwa wako wakati wakiandika, au waliandika huku wako "guarded"?
JK,
Tatizo ninaloliona ni kuwa wanahangaishwa na legacy yake.
Wanataka awe yeye ndiye muasisi harakati za haki za Waafrika lakini nafasi ilipokuwa wazi yeye badi mtoto na harakati za kuunda TANU kuanzia 1950 hakuwepo pia.
Vipi utawapiku akina Sykes ilhali African Association kaasisi baba yao na watoto wake wakaasisi TANU?
Hapa ndipo lilipo tatizo.
Kubwa zaidi vipi mchango wa Waislam tuupuuze pamoja na wazalendo wake wake kwa waume.
Je wawe kimya kuhusu mchango wa Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika na viongozi wake kama Sheikh Hassan bin Ameir na Ali Mwinyi Tambwe?
Unaweza kuandika historia ya uhuru wa Kenys bila kuwataja Wakikiyu na Mau Mau?
Sent using Jamii Forums mobile app
JK,..labda kingeandikwa na mtu ambaye hakuwa na mahusiano ya moja kwa moja na Mwalimu ingesaidia.
..Mwalimu ametukuzwa kwa kipindi kirefu. Namheshimu sana Mwalimu, lakini nadhani ametukuzwa kwa kipindi kirefu.
..Sie wengine tumetosheka na sifa kemkem za Mwalimu, sasa tuna hamu ya kusoma habari ambazo zinam-humanize Mwalimu.
Mzee wangu una uwezo mkubwa sana kichwani, hasa kukabiliana na hoja na matusi ya vijana wasio na adabu. Nadhani namna unavyowajibu wabajiona wapumbavu sana.Laki...
Kitabu ni kizuri sana kabisa na nimekipenda kwa sababu kubwa mbili kuwa kwanza kitabu cha Abdul Sykes kipo katika bibliography na kimerejewa mara nyingi sana.
Pili kitabu kimenifunza mengi sana ambayo sikuwa nayajua.
Ama kuhusu Abdul Sykes kitabu nimekipenda kwa kuwa kimenipa fursa ya kutembea kwenye mistari yake na kuandika yale ambayo Abdul yamemuhusu lakini hayakuelezwa sawasawa na hili nimefanya kwa wazalendo wengine.
Nadhani umesoma huko nyuma niliposahihisha kuhusu ni nyumba ipi Nyerere aliishi, ni Stanley Street kwa Abdul Sykes au Kipata kwa Ally?
Hapa nikasherehesha sana.
Naamini umeona jinsi nilivyowaadhimisha Chief David Kidaha Makwaia na Dr. Wilbard Mwanjisi ili michango yao ifahamike.
Kitabu nimekipenda kwa kuwa kinanisadikisha katika mengi.
Vipi nisikipende kitabu hiki?
Kuna kitabu cha Shaaban Robert kinaitwa, "Ashiki Kitabu Hiki."
Nami nasema maneno haya haya kwa kitabu hiki "Ashiki wasifu huu wa Julius Nyerere.
Sent using Jamii Forums mobile app
HaiwezekaniJK,
Tatizo ninaloliona ni kuwa wanahangaishwa na legacy yake.
Wanataka awe yeye ndiye muasisi harakati za haki za Waafrika lakini nafasi ilipokuwa wazi yeye badi mtoto na harakati za kuunda TANU kuanzia 1950 hakuwepo pia.
Vipi utawapiku akina Sykes ilhali African Association kaasisi baba yao na watoto wake wakaasisi TANU?
Hapa ndipo lilipo tatizo.
Kubwa zaidi vipi mchango wa Waislam tuupuuze pamoja na wazalendo wake wake kwa waume.
Je wawe kimya kuhusu mchango wa Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika na viongozi wake kama Sheikh Hassan bin Ameir na Ali Mwinyi Tambwe?
Unaweza kuandika historia ya uhuru wa Kenya bila kuwataja Wakikiyu na Mau Mau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nsharighe,
Binti, nimekuambia uthibitishe acha mipasho yenu ya pwani.Wewe mama, nithibitishe nini wakati kila kitu kipo wazi??!
Haswaaa,Mohamed Said, kwa nini wapendwa wako wote waliokuwa TANU waligombana na Nyerere? Ally Sykes, Abdul Sykes, Chief Kidaha, Dr. Mwanjisi, Hasan Ameir, Titi Mohamed, kwa hiyo kwako wewe sifa kubwa ya kuwa mzalendo ni kugombana na Nyerere?