AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Habar wakuu! Naomba msaada wenu wa mawazo kuhusu elimu ya nchin Uganda, Je ninaweza kwenda kusoma Advance Comb ya sayansi mfano CBG? Pia vipi baada ya kumaliza 4m6 itawezekana kuja kusomea vyuo vya hapa nchini,?
Matokeo yangu ya olevel ni div 3-24 yani Bios-B, Chem-B, phy-D, hist D, Civ-D, Engl-D, kisw
-D, Geo-D, Math-D
Ahsanten kwa msaada wenu kwani NECTA wamenipiga na kitu chenye ncha kali hivyo msaada wa mawazo wenu ni muhimu sana kwangu na Mungu awabariki.
Matokeo yangu ya olevel ni div 3-24 yani Bios-B, Chem-B, phy-D, hist D, Civ-D, Engl-D, kisw
-D, Geo-D, Math-D
Ahsanten kwa msaada wenu kwani NECTA wamenipiga na kitu chenye ncha kali hivyo msaada wa mawazo wenu ni muhimu sana kwangu na Mungu awabariki.