Muhimu!!!:kwa wale wote ambao profile zenu zinaonesha hamjafanya application

Last edited by a moderator:

afu we jamaa mbwiga kweli yani mbona sa hv zmeshakuwa processed? Sa ztakuwaje processed kama selection bado!
 

Umeumbuka mkuu...
 

we jamaa unafikiri kuwa watu humu ni mambulula kama unavyofikiri?nenda facebook ndo ukaseme uongo wako!wewe si member wa tcu wala nini,naungana na jamaa zangu kuwa selection kwa first round imeshafanyika ndo maana wakajua coz zp hazina watu! Hebu kuwa great thinker!
 

Kumdanganya mwenye akili inakulazimu uwe na akili zaidi yake.
 

Hahahahah....au huyu ndo wale wanotumia computer za ofisi kulog in facebook na jf???...maana hajui kituuuuu
 
Hahahahahahahahaaaa....ila wanangu nimecheka sana na hizi comments zenu...hadi machozi daaagh
 
Huyu mbwiga88 anatufanya wote mazoba humu JF wakati sisi ni maGT wa ukweli,ukweli ni kwamba selection zipo tayari na hakuna panel inayokaa kufanya selection ni kwamba hii kitu hufanywa na system tena within a single day kila kitu kinamalizika.

Huo ndo ukweli.kazi ya selection inafanywa na mtu mmoja tu wa it..ndani ya muda mfupi na kutoa report kwa vitengo husika. Baada ya kuangalia ile report ndipo wanaweza kufanya marekebisho kidogo manually na kupeleka majina vyuoni. Majina hayawezi kutangazwa kabla hayajapelekwa vyuoni na kukubaliwa na vyuo husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…