Bwana Bima
JF-Expert Member
- Jul 29, 2014
- 429
- 929
Kutoka kwa Casto news.
π‘π π¦πππ¦π ππππ π§π¨ π πͺπππππππ ππ πππ‘π π πππ’ππ’
Nimeona posti ya mwekezaji wa makolo analalamika kuwa anakwamishwa na atajitoa,,Okay hapa staki kuongea kishabiki wala kimasihala Bali nataka kuongea Kama mwananchi ambaye napenda kusimama Kwenye ukweli.Ebu tuanzie hapa Tanzania Sheria zipo wazi kabisa haswa kwa wawekazaji ambao wana nia ya kutaka kuwekeza kwenye taasisi za wanachama.
Simba ni klabu ya wanachama na msingi wake mkubwa ni wanachama,Simba walikubali kwenda kwenye mabadiliko na wakampa Mo Dejwi nafasi ya kuwekeza ndani ya klabu yao je zile ada za wanachama ambazo mwekezaji aliwaleta Equit Bank zipo wapi Kuna Mwanachama anakua mrejesho wake hadi leo...?Ukiutazama mfumo wao wa Uwekezaji ni Kama Viongozi walikurupuka tu hawakutaka kutulia kufanya mabadiliko ya kweli,,Ni kiongozi gani ambaye alikubali kuwa thamani ya Simba ni 20B...?Ni kiongozi gani ndani ya Simba alifanya tathimini kwa kuwashirikisha wanachama kufanya tathimini ya Mali za klabu.
Miaka mitatu nyuma tume ya ushindani Tanzania Fcc walitoka hadharani kabisa kupinga mabadiliko ya Simba na kuwarudisha tena mezani kufanya mabadiliko ya Kweli,,Fcc walibaini madudu mengi ndani ya TRANSFORMATION ya simba,Kuna Kampuni Nne zilifunguliwa ambazo zote zilikuwa upande wa mwekezaji je ni kiongozi gani alisaini kupitisha hizo Kampuni za mwekezaji ambazo zilikuwa zinafanya kazi ndani ya klabu kwa kupitia mwekezaji.?
Mo leo hii ana haki kulalamika kuwa anakwamishwa kwasababu,,hadi Sasa hakuna kiongozi ambaye anapambana kutaka kuona mabadiliko yanatimia Try again kila siku anasema mabadiliko yapo hatua nzuri Ila hataki kusema wapo hatua gani,Haya leo mwekezaji anaondoka ni kiongozi gani anaweza Kutoka hadharani kudai 20B za mwekezaji,Na tayari mwekezaji kashatoa zaidi ya 20B ndani ya klabu.Siku zote huwa nawaambiaga amkeni watani daini mabadiliko ya ukweli,,kushangilia usajili au kumfunga Yanga sio mwisho wa klabu yenu.Kinachoendelea kwa Sasa Fcc wanataka ripoti nzima ya mabadiliko na hadi sasa hakuna Viongozi ambacho wamefanya.
Mo leo kakatisha kutoa pesa Ila hakuna kiongozi yoyote ambaye amesimama kuhoji kwa nini mwekezaji hatoi pesa na bado klabu inamtangazia biashara zake,,Mwenyekiti aliyepita kwa kujihuzuru MR MKWABI alisimamia katiba ya klabu ya kuitetea kwa kumuhoji mwekezaji anavyofanya vitu nje ya mkataba, mashabiki wote wa Simba mkamtukana,,Aya huyu wa Sasa kazi yake nini ndani ya klabu kutoa ahadi kumfunga Yanga..?
Muda bado upo simameni daini katiba mpya na mabadiliko ya Kweli Ila hii katiba inawanufaisha tu Viongozi waliopo madarakani. Shida kubwa humu Facebook haswa nzala wenu hawanaga wanachokijua zaidi ya kushangilia Manzonki,,Onana amkeni.
π‘π π¦πππ¦π ππππ π§π¨ π πͺπππππππ ππ πππ‘π π πππ’ππ’
Nimeona posti ya mwekezaji wa makolo analalamika kuwa anakwamishwa na atajitoa,,Okay hapa staki kuongea kishabiki wala kimasihala Bali nataka kuongea Kama mwananchi ambaye napenda kusimama Kwenye ukweli.Ebu tuanzie hapa Tanzania Sheria zipo wazi kabisa haswa kwa wawekazaji ambao wana nia ya kutaka kuwekeza kwenye taasisi za wanachama.
Simba ni klabu ya wanachama na msingi wake mkubwa ni wanachama,Simba walikubali kwenda kwenye mabadiliko na wakampa Mo Dejwi nafasi ya kuwekeza ndani ya klabu yao je zile ada za wanachama ambazo mwekezaji aliwaleta Equit Bank zipo wapi Kuna Mwanachama anakua mrejesho wake hadi leo...?Ukiutazama mfumo wao wa Uwekezaji ni Kama Viongozi walikurupuka tu hawakutaka kutulia kufanya mabadiliko ya kweli,,Ni kiongozi gani ambaye alikubali kuwa thamani ya Simba ni 20B...?Ni kiongozi gani ndani ya Simba alifanya tathimini kwa kuwashirikisha wanachama kufanya tathimini ya Mali za klabu.
Miaka mitatu nyuma tume ya ushindani Tanzania Fcc walitoka hadharani kabisa kupinga mabadiliko ya Simba na kuwarudisha tena mezani kufanya mabadiliko ya Kweli,,Fcc walibaini madudu mengi ndani ya TRANSFORMATION ya simba,Kuna Kampuni Nne zilifunguliwa ambazo zote zilikuwa upande wa mwekezaji je ni kiongozi gani alisaini kupitisha hizo Kampuni za mwekezaji ambazo zilikuwa zinafanya kazi ndani ya klabu kwa kupitia mwekezaji.?
Mo leo hii ana haki kulalamika kuwa anakwamishwa kwasababu,,hadi Sasa hakuna kiongozi ambaye anapambana kutaka kuona mabadiliko yanatimia Try again kila siku anasema mabadiliko yapo hatua nzuri Ila hataki kusema wapo hatua gani,Haya leo mwekezaji anaondoka ni kiongozi gani anaweza Kutoka hadharani kudai 20B za mwekezaji,Na tayari mwekezaji kashatoa zaidi ya 20B ndani ya klabu.Siku zote huwa nawaambiaga amkeni watani daini mabadiliko ya ukweli,,kushangilia usajili au kumfunga Yanga sio mwisho wa klabu yenu.Kinachoendelea kwa Sasa Fcc wanataka ripoti nzima ya mabadiliko na hadi sasa hakuna Viongozi ambacho wamefanya.
Mo leo kakatisha kutoa pesa Ila hakuna kiongozi yoyote ambaye amesimama kuhoji kwa nini mwekezaji hatoi pesa na bado klabu inamtangazia biashara zake,,Mwenyekiti aliyepita kwa kujihuzuru MR MKWABI alisimamia katiba ya klabu ya kuitetea kwa kumuhoji mwekezaji anavyofanya vitu nje ya mkataba, mashabiki wote wa Simba mkamtukana,,Aya huyu wa Sasa kazi yake nini ndani ya klabu kutoa ahadi kumfunga Yanga..?
Muda bado upo simameni daini katiba mpya na mabadiliko ya Kweli Ila hii katiba inawanufaisha tu Viongozi waliopo madarakani. Shida kubwa humu Facebook haswa nzala wenu hawanaga wanachokijua zaidi ya kushangilia Manzonki,,Onana amkeni.